tangu oktoba 23, huyu mkuu hapatikani hapa.
ni shabiki mwenzangu wa chama tawala,
tena ni mdini sana kama mimi,
kokote atakapokuwapo,]
aendelee kumshabikia jk
lakini ampigie kura dk slaa.
aaaaaaamin!!!
If, and only if the case is BLUE, then 'RIP' broda, in advance!Malaria Sugu akipanda kichwani kuna mambo mawili, kuwa kichaa au kutangulia either is possible:bowl:
Alikwenda kukipigia debe Chama Cha Malaria :smile-big:alikuwa kijjini anahamasisha watu kumpigia kura jk, na kumtosa dk slaa
tangu oktoba 23, huyu mkuu hapatikani hapa.
ni shabiki mwenzangu wa chama tawala,
tena ni mdini sana kama mimi,
kokote atakapokuwapo,]
aendelee kumshabikia jk
lakini ampigie kura dk slaa.
aaaaaaamin!!!