Malavidavi ya enzi zetu

Malavidavi ya enzi zetu

Mama Big

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2010
Posts
488
Reaction score
7
61969_442761964109_696474109_4986692_7706433_n.jpg
 
Enzi zetu, hii niliipenda sana, sio sasa hivi uzushi na usanii mtupu, na hizi simu hizi zingejua kusema?
balaa tupu!

Hujambo wewe mama kubwa?
 
Ishazunguka sana hii kwenye safu za bulogu za Kitanzania pamoja na hapa...
 
Enzi zetu, hii niliipenda sana,
sio sasa hivi uzushi na usanii mtupu,
na hizi simu hizi zingejua kusema?
balaa tupu!

HUjambo wewe mama Kubwa?

Sijambo bacha nakumbuka hiyo barua nilitumiwa enzi zileeeeee
 
siku hizi naona mambo ni kukopi and paste kutoka kwa michuzi tu....
 
yeah!the dude is BACK....and energetic

yeah!G leo kanirelease,
sikuipenda trick yako ya kumic kikao

Ya kujibu ni mengi mpendwa, nita😛hone: ila naomba nisamehewe
 
Ya kujibu ni mengi mpendwa, nita😛hone: ila naomba nisamehewe
haya bana!
maamuzi ya msamaha yapo kwa wajumbe...

mwambie mj1 ''i love the way she lied''
 
Back
Top Bottom