Akilihuru
JF-Expert Member
- May 20, 2022
- 1,512
- 2,980
Za mchana wakuu,
Hii imetokea huko nchini Malawi, jamaa mmoja muuza masanduku anaeishi karibu na hospital fulan ya umma aliingia katika hospital hiyo kinyemela na kuanza kuchomoa mipira ya drip walizowekewa wagonjwa wa kipindupindu ili wafe na yeye apate nafasi ya kuuza masanduku yake.
Alivyohojiwa alikiri kufanya kitendo hicho, lakini alijitetea kwamba alifanya hivyo kwa lengo la kujitafuta riziki baada ya kukaa muda mrefu bila kuuza masanduku hayo na pia ukali wa maisha uliyopo nchini humo umechangia.
Dah dunia imegeuka jahannam, watu hawana utu kabisa.
===
Jamaa mmoja kutoka Nchini Malawi katika Jiji La Blantyre amenusurika kifo mara baada ya kupata kipigo kutoka kwa Raia wenye hasira kali mara baada ya kuingia katika wodi ya wagonjwa wa kipindu pindu huko Limbe kisha kuchomoa drip ili wagonjwa wafariki na yeye auze majenezeza.
Mara baada ya kuhojiwa jamaa huyo akajibu kuwa ugumu wa biashara hiyo umesababisha yeye kufanya jambo hilo lililo acha hoi watu wengi waliokuwa eneo hilo.
Chanzo: VOT Media
Hii imetokea huko nchini Malawi, jamaa mmoja muuza masanduku anaeishi karibu na hospital fulan ya umma aliingia katika hospital hiyo kinyemela na kuanza kuchomoa mipira ya drip walizowekewa wagonjwa wa kipindupindu ili wafe na yeye apate nafasi ya kuuza masanduku yake.
Alivyohojiwa alikiri kufanya kitendo hicho, lakini alijitetea kwamba alifanya hivyo kwa lengo la kujitafuta riziki baada ya kukaa muda mrefu bila kuuza masanduku hayo na pia ukali wa maisha uliyopo nchini humo umechangia.
Dah dunia imegeuka jahannam, watu hawana utu kabisa.
===
Jamaa mmoja kutoka Nchini Malawi katika Jiji La Blantyre amenusurika kifo mara baada ya kupata kipigo kutoka kwa Raia wenye hasira kali mara baada ya kuingia katika wodi ya wagonjwa wa kipindu pindu huko Limbe kisha kuchomoa drip ili wagonjwa wafariki na yeye auze majenezeza.
Mara baada ya kuhojiwa jamaa huyo akajibu kuwa ugumu wa biashara hiyo umesababisha yeye kufanya jambo hilo lililo acha hoi watu wengi waliokuwa eneo hilo.
Chanzo: VOT Media