Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Roho ya mauaji roho ya kishetwani
Kuna watu wamepinda akili usisikie.Aisee
Dunia ishakwishaKuna watu wamepinda akili usisikie.
Yaani hata moyo wa huruma hana kabisa. Anawaza tumbo lake tu.
Biashara nyingine ni mtihani wa duniani.Unakuta mtu kama huyo anaenda kanisani/msikitini kumwomba M/Mungu ambariki katika biashara yake ya majeneza.Dunia dah
Tena siti/mstari ya/wa mbele kabisa!!Kweli kabisa ukute ibadani jamaa huwa hakusekani.
Fungua uzi unaolandana na hayo, tutacomment pia. Watu wanajadili yaliyoko mezani mkuu.Kwani huyo ana tofauti gani na mwanasiasa anayenunua gari la 600M ama anasaini mktaba wa software ya India inayofuatilia umeme kukatika badala ya kujenga dispensary ama kuongeza vifaa Bora ili mama wajawazito wapate huduma nzuri na wagonjwa wengine na sio lazima kukimbizwa na ambulance mpaka mkoa wa mbali wanakufa.
Ama walimu wazuri mazingira mazuri kwao pia na vitabu vya kutosha kwa watoto baadaye watt wanafeli tunapata vibaka na Malaya, watt wetu wanafariki kwa magonjwa ya zinaa na wengine wanauwa kwa wizi ama kula dawa Mana hawakupata elimu nzuri na sahihi. Ama nyie mnacheki mauaji indirect