Malawi: Akamatwa akichomoa mipira ya drip za wagonjwa ili wafe auze masanduku

Duuh!! Huyo ni rafiki wa mtoaroho bila kupepesa. Yaani dunia hii utu umeisha kabisa.😳🤔
 
Fungua uzi unaolandana na hayo, tutacomment pia. Watu wanajadili yaliyoko mezani mkuu.
Hakuna wanaowafurahia au kuwapendelea hao unaowasema pia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…