Kwani huyo ana tofauti gani na mwanasiasa anayenunua gari la 600M ama anasaini mktaba wa software ya India inayofuatilia umeme kukatika badala ya kujenga dispensary ama kuongeza vifaa Bora ili mama wajawazito wapate huduma nzuri na wagonjwa wengine na sio lazima kukimbizwa na ambulance mpaka mkoa wa mbali wanakufa.
Ama walimu wazuri mazingira mazuri kwao pia na vitabu vya kutosha kwa watoto baadaye watt wanafeli tunapata vibaka na Malaya, watt wetu wanafariki kwa magonjwa ya zinaa na wengine wanauwa kwa wizi ama kula dawa Mana hawakupata elimu nzuri na sahihi. Ama nyie mnacheki mauaji indirect