Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ule ulikuwa upuuzi wa hali ya juu, kweli msiba mkubwa kama ule ni wa kutuletea sisi senator? kama hawakutaka kuleta kiongozi wa kitaifa basi wangekaa kimya tu.Ila kwa hili Nadhani chanzo ilikuwa Tanzania kuizuia ile ndege iliyobeba waombolezaji msiba wa Ben
Kumbe hapo naelewaUle ulikuwa upuuzi wa hali ya juu, kweli msiba mkubwa kama ule ni wa kutuletea sisi senator? kama hawakutaka kuleta kiongozi wa kitaifa basi wangekaa kimya tu.
Kafariki Moi JPM alituma ujumbe mzito ukiongozwa na maRais wawili, washenzi wakae kwao tutakaa kwetu.
Kutaka kujifanya kiranja wa Africa itawatokea puani
"Chuma hufua chuma" BSUle ulikuwa upuuzi wa hali ya juu, kweli msiba mkubwa kama ule ni wa kutuletea sisi senator? kama hawakutaka kuleta kiongozi wa kitaifa basi wangekaa kimya tu.
Kafariki Moi JPM alituma ujumbe mzito ukiongozwa na maRais wawili, washenzi wakae kwao tutakaa kwetu.
Msiba wa tanzania malawi inawahusu nini?Ila kwa hili Nadhani chanzo ilikuwa Tanzania kuizuia ile ndege iliyobeba waombolezaji msiba wa Ben
Tanzania ndo wababe wa fitna afrika yoteKutaka kujifanya kiranja wa Africa itawatokea puani
View attachment 1523535
Hawawezi kuja kimaandishi ...wakisoma wanatokomea gizani without a word...Wale washabiki wa kenya waje hapa
Hivi KQ alikuwa ana route ya kwenda Malawi?
Heshima lazima iwepo, wajifanye "the most high"Ule ulikuwa upuuzi wa hali ya juu, kweli msiba mkubwa kama ule ni wa kutuletea sisi senator? kama hawakutaka kuleta kiongozi wa kitaifa basi wangekaa kimya tu.
Kafariki Moi JPM alituma ujumbe mzito ukiongozwa na maRais wawili, washenzi wakae kwao tutakaa kwetu.
Zamani na labda kama tukipata tawala za kidiplomasia baadaeTanzania ndo wababe wa fitna afrika yote