Malawi: Rais Chakwera akosolewa kwa kuteua ndugu kwenye Baraza la Mawaziri

"Lazaro" kafanya ma utopolo sana kuchagua mawaziri kiboya!!! Kosa alianza pale kwa waziri wa sheria yule aliyetosa uteuzi.
 
Tusubiri tuone.. anaweza akawa na mipango mizuri sana ya kunyanua Malawi.. hakuna kudanganywa na wasio ndugu

Mwaka huu.. hapa kwetu na wetu atuchague wa humu.. JF πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
"Lazaro" kafanya ma utopolo sana kuchagua mawaziri kiboya!!! Kosa alianza pale kwa waziri wa sheria yule aliyetosa uteuzi.

Ndugu anachokifanya au alichokifanya huyu Rais Chikwera ndiyo Picha halisi hata ya Wapinzani wengine tu tunaowataka Watawale nchi za Afrika.
 
Sijui kama BAK kapita hapa. Nashikilia msimamo wangu kwenye ule uzi wa kutengua kinga ya kutoshitakiwa rais mstaafu ndani ya massa 24. Siamini watu wanaofanya maamuzi ya haraka bila sababu.
 
This is Africa naamini mabeberu waendelee kutusimamia..
 
Nimeshapita Mkuu. Niangalie kwenye post #14 huu upuuzi hata siku moja siwezi kuuafiki.


Sijui kama BAK kapita hapa. Nashikilia msimamo wangu kwenye ule uzi wa kutengua kinga ya kutoshitakiwa rais mstaafu ndani ya massa 24. Siamini watu wanaofanya maamuzi ya haraka bila sababu.
 

Afrika Ina VYAMA viwili TU makini:

1.CCM
2.ANC

Twendeni na magufuli Kiunzi hiki cha 2020.
 
Halafu utawasikia watu Peeeeopleeees.....

Ni rahisi Sana kumkosoa mwenzako hasa ukiwa JUKWAANI.....

Nini mchungaji MSIGWA?!!

Tumemuona mchungaji CHAKWERA mzee wa kuthamini marafiki na femili zao.

Magufuli anasema.....TUSIPENDE KUIGAIGA.

Akili kumkichwa
 
Ndugu anachokifanya au alichokifanya huyu Rais Chikwera ndiyo Picha halisi hata ya Wapinzani wengine tu tunaowataka Watawale nchi za Afrika.
Hii si iko saana hata ndan ya CDM...viti maalumu vimewalaza wengi sana.
 
QUOTE="Muigai Jr, post: 35964852, member: 598205"]
Hii si iko saana hata ndan ya CDM...viti maalumu vimewalaza wengi sana.
[/QUOTE]

Loooh saalaaaleeee,wasema?!!!πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…