Malawi: Rais Chakwera akosolewa kwa kuteua ndugu kwenye Baraza la Mawaziri

Malawi: Rais Chakwera akosolewa kwa kuteua ndugu kwenye Baraza la Mawaziri

Nani alikwambia hawa ni wapinzani? Walikuwa ndiyo chama tawala na kushindwa miaka 26 iliyopita hivyo wamerudi tena madarakani.
Walikuwa wanaitwaje kabla ya kushinda uchaguzi wa mwaka huu?
 
Rais mpya wa Malawi, Lazarus Chakwera amekosolewa kwa kuteua Baraza la Mawaziri linalojumuisha Mtu na Mke wake pamoja na watu wengine ambao ni ndugu

Sidik Mia, ambaye ni Mgombea mwenza wa Rais huyo katika Uchaguzi wa mwaka 2019 amechaguliwa kuwa Waziri wa Uchukuzi huku mke wake, Abida Mia akiwa Naibu Waziri wa Ardhi

Kenny Kandodo ni Waziri mpya wa Kazi huku dada yake, Khumbize Kandodo akiwa ni Waziri mpya wa Afya. Mfanyabiashara Gospel Kazako amekuwa Waziri wa Habari huku Shemeji yake, Agnes Nkusa Nkhoma akiwa Naibu Waziri wa Kilimo

Baadhi ya Wakosoaji wameshangazwa na Baraza hilo kwani Rais Chakwera amefanya kile ambacho aliwahi kumkosoa nacho aliyekuwa Rais wa nchi hiyo Peter Mutharika kuhusu upendeleo na kuteua watu kutoka mkoani kwake

Wameongeza kuwa zaidi ya asilimia 79 ya Baraza jipya la Mawaziri wanatokea Mkoa wa Kati ambapo Rais Chakwera anawafuasi wengi
[emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji1787]
 
Uwe unasoma kwa kituo. Hao ndugu aliowateua yeye hawamuhusu na pia Chadema kumpongeza kwa ushindi wake hakuna kosa lolote lile na akivurunda pia atapewa za uso na si Chadema tu bali vyama vyote duniani vyenye kuheshimu na kuthamini utawala BORA.
Hahaha labda ungesema utawala wa sheria, utawala bora alikuwa hajaingia madarakani, sasa kaingia kafanya hayo utawala bora gani huo?!
 
Utawala wa sheria upi? Sheria zinaweza kubadilishwa vile atakavyo dikteta. Hujasikia hapa kwetu dikteta kapeleka muswaada Bungeni kwamba asipandishwe kizimbani kutokana na maovu yake akiwa madarakani na sasa ni sheria!?

Hahaha labda ungesema utawala wa sheria, utawala bora alikuwa hajaingia madarakani, sasa kaingia kafanya hayo utawala bora gani huo?!
 
Utawala wa sheria upi? Sheria zinaweza kubadilishwa vile atakavyo dikteta. Hujasikia hapa kwetu dikteta kapeleka muswaada Bungeni kwamba kwa asipandishwe kizimbani kutokana na maovu yake akiwa madarakani na sasa ni sheria!?
Huyu wetu aliishalindwa siku nyingi, alikuwa anakazia tu, sasa kaongeza na spika na waziri mkuu.
Ndio ukaona wabunge waliofukuzwa chadema wakaendelea kuwa wabunge na viinua mgongo wakalipwa. Yote hiyo spika awalinde.
Anyway wakwetu ni Yesu.
 
Hastahili kukazia eti atende maovu kwa makusudi ikiwemo wizi ufisadi na mauaji kisha anawe mikono na ndiyo sababu hawa wahuni waliikimbia rasimu ya Warioba kwani uhuni na maovu wanayoyafanya wangeishia lupango.


Huyu wetu aliishalindwa siku nyingi, alikuwa anakazia tu, sasa kaongeza na spika na waziri mkuu.
Ndio ukaona wabunge waliofukuzwa chadema wakaendelea kuwa wabunge na viinua mgongo wakalipwa. Yote hiyo spika awalinde.
Anyway wakwetu ni Yesu.
 
Hastahili kukazia eti atende maovu kwa makusudi ikiwemo wizi ufisadi na mauaji kisha anawe mikono na ndiyo sababu hawa wahuni waliikimbia rasimu ya Warioba kwani uhuni na maovu wanayoyafanya wangeishia lupango.
Hahaha si umesikia Bashiru akijidai kusema eti katiba mpya ni ajenda yao?!
Mshindi ni atakayetangazwa na tume, siyo atakayepata kura nyingi. Hivyo hakuna jipya.
 
Kama hao aliowateua hawana uhusiano wa kindugu na yeye binafsi (Rais) sioni tatizo, ila kama mke na mume au Kaka na Dada wateuliwe wote kuwa mawaziri maadamu hawana undugu na Rais na ni wachapakazi hilo pia sio tatizo.

Rais yeyote anapochagua wasaidizi ni lazima achague watu anaoamini hawatomuangusha kwenye utendaji wake.
 
Back
Top Bottom