Hii ndiyo Afrika......
Trump akimpa kazi Ivanka binti yake kuwa mshauri wake hakuna tatizo kwa vile si mwafrika?Jamani sijui sisi waafrika tuna akili gani......yani umeingia kwa nguvu ya umma alafu unaanza kufanya upuuzi
Naam mkuu yani watu wanaokurupuka kutoa maamuzi mazito sina imani nao. Alikuja kama kaagizwa na timu, kama kama kukomoa mtu au kulipa kisasi. Alifanya kitu kizuri lakini kwa haraka ya kutia shaka. Na hakuna watu sitaki kuwaamini kama hawa walala makanisani, kina Nkurunziza na Taylor wote walikuwa wasoma vifungu.Nimeshapita Mkuu. Niangalie kwenye post #14 huu upuuzi hata siku moja siwezi kuuafiki.
Je Chakwera amempoteza Ben Saanane au amemteka MO ? Haya makosa yake madogo yanarekebishika tuKuna jamaa humu anayejiita Erythrocyte aliandika eti Mungu mbariki Chakwera.
Tatizo lako upambe umezidi hadi unapindukia.Je Chakwera amempoteza Ben Saanane au amemteka MO ? Haya makosa yake madogo yanarekebishika tu
hujajibu maswali ya utekajiTatizo lako upambe umezidi hadi unapindukia.
Naam mkuu yani watu wanaokurupuka kutoa maamuzi mazito sina imani nao. Alikuja kama kaagizwa na timu, kama kama kukomoa mtu au kulipa kisasi. Alifanya kitu kizuri lakini kwa haraka ya kutia shaka. Na hakuna watu sitaki kuwaamini kama hawa walala makanisani, kina Nkurunziza na Taylor wote walikuwa wasoma vifungu.
Mwafrika kuwa mpinzani haimaanishi ndiye mkombozi, muhimu ziwepo sheria na kanuni na zifuatwe. Sasa huyu kaapishwa leo, karekebisha kifungu cha sheria ili kimlinde yeye. Mpaka sasa bado sijui mamlaka ya kubadili vifungu anayo nani katika nchi hiyo, kwingine najua ni bunge au mahakama.
Kwani lazima nikujibu?hujajibu maswali ya utekaji
Kweli ni somo tosha kwa wapinzani mambo ya kugawana vyeo kwa hisani au undugu haifai.Ndugu anachokifanya au alichokifanya huyu Rais Chikwera ndiyo Picha halisi hata ya Wapinzani wengine tu tunaowataka Watawale nchi za Afrika.
Yani nimekumbuka ile picha ya the last King of scotland, pale ambapo Idd Amina anawahutubia watu wanafurahi, kale kamzungu kakawwa aknamwambia yule mama mke wa mchungajikuwa inaelekea jamaa ni mtu mzuri na watu wanampenda sana.Rais mpya wa Malawi, Lazarus Chakwera amekosolewa kwa kuteua Baraza la Mawaziri linalojumuisha Mtu na Mke wake pamoja na watu wengine ambao ni ndugu
Sidik Mia, ambaye ni Mgombea mwenza wa Rais huyo katika Uchaguzi wa mwaka 2019 amechaguliwa kuwa Waziri wa Uchukuzi huku mke wake, Abida Mia akiwa Naibu Waziri wa Ardhi
Kenny Kandodo ni Waziri mpya wa Kazi huku dada yake, Khumbize Kandodo akiwa ni Waziri mpya wa Afya. Mfanyabiashara Gospel Kazako amekuwa Waziri wa Habari huku Shemeji yake, Agnes Nkusa Nkhoma akiwa Naibu Waziri wa Kilimo
Baadhi ya Wakosoaji wameshangazwa na Baraza hilo kwani Rais Chakwera amefanya kile ambacho aliwahi kumkosoa nacho aliyekuwa Rais wa nchi hiyo Peter Mutharika kuhusu upendeleo na kuteua watu kutoka mkoani kwake
Wameongeza kuwa zaidi ya asilimia 79 ya Baraza jipya la Mawaziri wanatokea Mkoa wa Kati ambapo Rais Chakwera anawafuasi wengi
Nilitaka ku clarify ya ile waafrika ndio tulivyo kumbe hata wengineKm mawaziri?!!! Kuweka kwenye ushauri si mbaya Sana...
By da way "two wrongs doesn't make one right".
Mambo mengi africa hukwamishwa na uduni wa katiba zetu kwa nchi ya malawi cheo cha uraisi huchukuliwa kama cheo cha uchifu ni tofauti kidogo na siasa za east africa hasa Tanzania na Kenya Wamalawi hawajali sana teuzi wao wanaangalia utendaji wa mteuleRais mpya wa Malawi, Lazarus Chakwera amekosolewa kwa kuteua Baraza la Mawaziri linalojumuisha Mtu na Mke wake pamoja na watu wengine ambao ni ndugu
Sidik Mia, ambaye ni Mgombea mwenza wa Rais huyo katika Uchaguzi wa mwaka 2019 amechaguliwa kuwa Waziri wa Uchukuzi huku mke wake, Abida Mia akiwa Naibu Waziri wa Ardhi
Kenny Kandodo ni Waziri mpya wa Kazi huku dada yake, Khumbize Kandodo akiwa ni Waziri mpya wa Afya. Mfanyabiashara Gospel Kazako amekuwa Waziri wa Habari huku Shemeji yake, Agnes Nkusa Nkhoma akiwa Naibu Waziri wa Kilimo
Baadhi ya Wakosoaji wameshangazwa na Baraza hilo kwani Rais Chakwera amefanya kile ambacho aliwahi kumkosoa nacho aliyekuwa Rais wa nchi hiyo Peter Mutharika kuhusu upendeleo na kuteua watu kutoka mkoani kwake
Wameongeza kuwa zaidi ya asilimia 79 ya Baraza jipya la Mawaziri wanatokea Mkoa wa Kati ambapo Rais Chakwera anawafuasi wengi
Muhimu wawe na sifa na wafanye baaasi ila wakianza kuwa kama chadema walivyogeana nafasi pale chamani ndio shida.
Hahaha nilishangaa sana nilipoona CHADEMA wanampongeza kwa kushinda, nikauliza ikiwa majimbo yaliyo chini ya CHADEMA yakirudi ccm watapongeza pia?! Yani KANU kenya irudi madarakani CHADEMA inapongeza?!Kavurunda huyu kuchagua ndugu kama kaka na dada. Pamoja na hao ndugu yeye binafsi hawamuhusu lakini KAVURUNDA sana.
Hahaha nilishangaa sana nilipoona CHADEMA wanampongeza kwa kushinda, nikauliza ikiwa majimbo yaliyo chini ya CHADEMA yakirudi ccm watapongeza pia?! Yani KANU kenya irudi madarakani CHADEMA inapongeza?!
Sasa ndiyo muone vyama tawala vikipotea vikarudi vinakuwaje.
Nchi nzima wapinzani atamteua nani asipomteua mke na shemeji zake?!
Mbona CCM mliwateua Halima Bulembo na Baba Yake Viti MaalumuNdiyo shida ya kuchagua upinzani. Watakoma. Huku sie ni ccm milele
Ndiyo shida ya kuchagua upinzani. Watakoma. Huku sie ni ccm milele
Kuna Mtu Mmoja aliwahi kuniambia Mzukulu kuwa Waafrika wengi ni Watu wa Kupenda sana Mabadiliko na Ujio wa Vyama vingi katika Kushika Dola za nchi zetu hizi ila hapo hapo Waafrika tumesahau kwamba tabia zetu za Kiafrika zinafanana hata kama tutakuwa tunampenda na Kumuamini Mtu fulani kutokea upande tuupendao na kuuchukia ule atokao.
Ni kwamba katika hali isiyokuwa ya kawaida kabisa na ambayo pia imepelekea hata Wananchi wa Malawi ambao walimpigia Kura sasa Kujutia Kumuweka Madarakani Rais Mteule wa Malawi Mwinjilisti Lazarus Chakwera ameanza Mazingaombwe yake na Upuuzi wake kwa Kuteua Baraza la Mawaziri ambalo humo humo lina Ndugu na Mashemeji ikiashiria anatanguliza Undugu Serikalini.
Kwa kuanzia tu ameteua Waziri wa Kazi na wa Afya ambao wote Wawili ni Ndugu moja kwa Baba na Mama. Kuona hiyo haitoshi Kateua Waziri wake mpya wa Habari ambaye kumbe nae ni Shemeji wa Naibu Waziri wa Kilimo. Na kwa Kumalizia Upuuzi wake Rais huyu Kateua tena Waziri wa Usafirishaji ambaye tena ni Mume wa Naibu Waziri wa Ardhi.
Ndiyo maana kuna muda Mzukulu huwa nasema ni kheri tu nchi za Afrika ziendelee Kuongozwa na Marais Wakongwe kuliko Wapuuzi kama hawa.
Kwa anayetaka Taarifa hii Kamili ipo katika Gazeti la Mtandao la The Citizen.