Zamiluni Zamiluni
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 13,997
- 15,112
Jamanii mpira una maajabu yake...!!! Zamaulid Ta MuganyiziTamaa tushakata tangu zamani. Hakuna jipya watakaloleta hao jamaa. Kocha anaona viungo wamekatika yeye anauchuna tuu. Angalia beki yetu inavyosumbuliwa.
Bocco ana jazba sana siku ya leo.
Alichokifanya boko kwa upande wangu ni sahihi sababu anapoteza muda tu japo game iishe hivi tupite
Jamanii mpira una maajabu yake...!!! Zamaulid Ta Muganyizi
Hivi boko anafanya nini uwanjani?
Huyu kocha timu imemshinda atimuliwe tuu ....kocha gan hashugulishi akili utafikiri shabiki jukwaani
#mkwasa out
Huyu kocha timu imemshinda atimuliwe tuu ....kocha gan hashugulishi akili utafikiri shabiki jukwaani
#mkwasa out
dk ya ngapi...!?