tutabadilika...ni mwaka wa mabadiliko kumbuka!!
Tunashangilia hapa ila SAD NEWS kuna mwenzetu wamemrush SANITAS Hospital dakika ya 91' Mins wakati tunakoswakoswa, alianza kwa kusema ganzi upande wa kushoto wa mbavu then akapata heart attack
Tunashangilia hapa ila SAD NEWS kuna mwenzetu wamemrush SANITAS Hospital dakika ya 91' Mins wakati tunakoswakoswa, alianza kwa kusema ganzi upande wa kushoto wa mbavu then akapata heart attack
Hii timu inafanya vzr kwa kuwa wachezaji wengi ni wa Yanga.
duh mkuu huyo alikua ni shabiki?
Mshambuliaji mzuri sio mtu wa kutengewa ajifunze kwa kina messi na ronaldo kama hupati mipira kaitafute mwenyewe nyuma. Hatutaki magoli ya kuvizia akatafute mpira
Asante Yanga international kwa kututengenezea Great wall of Tanzania(cannavaro,Yondani n Haji)
Tunashangilia hapa ila SAD NEWS kuna mwenzetu wamemrush SANITAS Hospital dakika ya 91' Mins wakati tunakoswakoswa, alianza kwa kusema ganzi upande wa kushoto wa mbavu then akapata heart attack
Sure, hii ni habari ya kuhuzunisha sana, huyo mwnzetu ni mchezaji au shabiki?
Hii timu inafanya vzr kwa kuwa wachezaji wengi ni wa Yanga.