Baba, hii sijaisoma. Shkamoo! Mwl wa Sunday Skul anakusalimia
UNAUJUA USEMI HUU??? nionyeshe rafiki za
:A S 465:Msimamo na akili vina ukomo mwishowe anawezashawishika akaingia kundini the best option is to stop the relation otherwise Majuto mjukuu
wanawake wasio waaminifu > ushasema wasio waaminifu sasa urafiki nao maana unataka ajifunze kutokuwa mwaminifu.Tena hasa kwenye visaloon ivi kuna washenzi wanafanya sana iyo kazi ya ukuhadi wa wake za watu
nakubaliana na hilo.... na utakuaje na urafiki na malaya kama wewe si malaya
Nilisahau kuweka onyo kwenye heading kuwa usije ukafungua hii maneno, hata my Daughter Lizzy na mwanangu mwingine MJ1, sitaki kabisa wasome hapa, kwani watajifunza tabia mbaya...................LOL