Mtoa Taarifa
JF-Expert Member
- Sep 21, 2024
- 213
- 671
Serikali ya Malaysia imekubali kuanzisha upya utafutaji wa Ndege ya Shirika la Ndege la Malaysia MH370, ambayo ilitoweka takriban miaka 10 iliyopita, ikiwa ni mojawapo ya matukio yaliyoshangaza sekta ya anga.
Siku ya Ijumaa, waziri wa uchukuzi wa Malaysia Anthony Loke alisema baraza la mawaziri liliidhinisha kimsingi mkataba wa $70m (£56m) na kampuni ya Marekani ya uchunguzi wa baharini ya Ocean Infinity kutafuta ndege hiyo.
Mpango huo uliopewa jina la "Bila Kuipata, Hakuna Malipo", kampuni ya Ocean Infinity italipwa fedha hizo endapo tu mabaki yatapatikana.
Ndege ya Shirika la Ndege la Malaysia MH370 ilitoweka Machi 2014 ilipokuwa ikielekea Beijing kutoka Kuala Lumpur ikiwa na Abiria 239.
Juhudi za kutafuta mabaki ya ndege hiyo aina ya Boeing 777 zimeenea kwa miaka mingi na mamia ya familia za waliokuwa ndani ya ndege hiyo zimesalia kuandamwa na mkasa huo.
Utafutaji wa awali wa mwaka 2018 wa Ocean Infinity chini ya masharti kama hayo uliisha bila mafanikio baada ya miezi mitatu.
Soma Zaidi: Mahakama ya China kuanza kusikiliza kesi dhidi ya Shirika la ndege la Malaysia kuhusu kupotea kwa ndege ya MH370
**********************
The Malaysian government has agreed in principle to restart the search for Malaysia Airlines Flight MH370, which disappeared nearly 10 years ago, in one of aviation's most enduring mysteries.
On Friday, Malaysia's transport minister Anthony Loke said the cabinet approved in principle a $70m (£56m) deal with US-based marine exploration firm Ocean Infinity to find the aircraft, News.Az reports, citing foreign media.
Under a "no find, no fee" arrangement, Ocean Infinity will get paid only when the wreckage is found.
Malaysia Airlines Flight MH370 disappeared in March 2014 while on its way to Beijing from Kuala Lumpur with 239 people on board.
Pia soma: Utafutaji mpya wa Ndege ya Malaysia Airlines MH370 waanza tena baada ya miaka 11
Efforts to locate the wreckage of the Boeing 777 have sputtered over the years and hundreds of families of those on board remain haunted by the tragedy.
A 2018 search by Ocean Infinity under similar terms ended unsuccessfully after three months.
A multinational effort that cost $150m ended in 2017 after two years of scouring vast waters.
While the government has "in principle" accepted Ocean Infinity's offer, Loke said negotiations over specific terms of the deal were still ongoing and would be finalised early next year.
The new search will cover a 15,000 sq km patch in the southern Indian Ocean.
"We hope this time will be positive," Loke said, adding that finding the wreckage would give closure to the families of those on board.
Flight MH370 took off from Kuala Lumpur in the early hours of 8 March 2014. It lost communication with air traffic control less than an hour after take-off and radar showed that it deviated from its planned flight path.
Investigators generally agree that the plane crashed somewhere in the southern Indian Ocean - though it is unclear as to why it happened.
Pieces of debris, believed to be from the plane, have washed up on shores of the Indian Ocean in the years after the disappearance.
A host of conspiracy theories have sprouted around the aircraft's disappearance, from speculation that the pilot had deliberately brought down the plane to claims that it had been shot down by foreign military.
A 2018 investigation into the aircraft's disappearance found that the plane's controls were likely deliberately manipulated to take it off course, but drew no conclusions about who had been behind it. Investigators said at the time that "the answer can only be conclusive if the wreckage is found".