magnifico
JF-Expert Member
- Jan 14, 2013
- 11,075
- 24,634
Hii story niliosikia pia wakati nacheza draft pale Mburahati.wahuni tu,
ndege ilipigwa kombora la US kwa bahati mbaya.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii story niliosikia pia wakati nacheza draft pale Mburahati.wahuni tu,
ndege ilipigwa kombora la US kwa bahati mbaya.....
Naam. Wakati jamaa wanahangaika kupata majibu ili siku za mbele matukio kama hayo waweze kukabiliana nayo, ngozi nyeusi inawaza waliokufa huku akisahau hawa walio hai wanaopanda ndege kila siku.Tofauti kati ya mtu mweusi na wengine, ndio hii hapa
From what I know ni drone.Hivi ilikuwa drone au mtambo wa kuendesha unmanned fighter jets?!
0-Brain ndani ya ubora wake.Hela yote hii ya nini na watu walishadanja,
Anyway, huenda Kuna matumain ya kupatikana wakiwa hai 🏃🏃🏃
Inawezekana aiseHao wamarekani walishapata some clues ndo maana wao wenyewe ndo wamelianzisha tena.
We subiri uone
kuna jamaa nilimsoma aliezea kwa upana sana jinsi ilivyotokea na jinsi China na vietnam walivyosaidia kuficha ukweli maana ndege ilianguka mile kadhaa toka fukwe ya Vietnam,Hii story niliosikia pia wakati nacheza draft pale Mburahati.
Serikali ya Malaysia imekubali kuanzisha upya utafutaji wa Ndege ya Shirika la Ndege la Malaysia MH370, ambayo ilitoweka takriban miaka 10 iliyopita, ikiwa ni mojawapo ya matukio yaliyoshangaza sekta ya anga.
Siku ya Ijumaa, waziri wa uchukuzi wa Malaysia Anthony Loke alisema baraza la mawaziri liliidhinisha kimsingi mkataba wa $70m (£56m) na kampuni ya Marekani ya uchunguzi wa baharini ya Ocean Infinity kutafuta ndege hiyo.
Mpango huo uliopewa jina la "Bila Kuipata, Hakuna Malipo", kampuni ya Ocean Infinity italipwa fedha hizo endapo tu mabaki yatapatikana.
Ndege ya Shirika la Ndege la Malaysia MH370 ilitoweka Machi 2014 ilipokuwa ikielekea Beijing kutoka Kuala Lumpur ikiwa na Abiria 239.