Malaysia yaidhinisha Tsh. Bilioni 166.9 ili kuanza utafutaji wa Ndege ya MH370 iliyotoweka miaka 10 iliyopita

Tofauti kati ya mtu mweusi na wengine, ndio hii hapa
Naam. Wakati jamaa wanahangaika kupata majibu ili siku za mbele matukio kama hayo waweze kukabiliana nayo, ngozi nyeusi inawaza waliokufa huku akisahau hawa walio hai wanaopanda ndege kila siku.
 
Hii story niliosikia pia wakati nacheza draft pale Mburahati.
kuna jamaa nilimsoma aliezea kwa upana sana jinsi ilivyotokea na jinsi China na vietnam walivyosaidia kuficha ukweli maana ndege ilianguka mile kadhaa toka fukwe ya Vietnam,

akaelezea matukio yaliyofuata kama coverup, behind the scene deals zilizopigwa ili kufichiana siri n.k,

NB/.
siku 2 hivi toka siku ya tukio kulikua na mazoezi ya kijeshi eneo lile yaliyowahusu US na washirika wake wa pande zile, hivyo lile eneo lilijaa aircraft carriers za kutosha plus radar za kutosha za kijeshi....... it was impossible ndege kubwa kama ile ipotee 'ghafla'
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…