Malcom X akipunga upepo Dar es Salaam

Malcom X akipunga upepo Dar es Salaam

Nakukubali Sana Mzee wangu. Ila hapo naona picha za vitabu tu, nilidhan umeweka picha ya Malcolm X
Analyse,
Picha za Malcolm X ziko nyingi sana mtandaoni huhitaji mtu akuwekee.

Nimeweka vitabu kuonyesha Maktaba ikiwa na kitabu cha Malcolm X.
 
“The year of the ballot or the bullet “
Ipo YouTube!

Ukisikiliza hii hotuba yake utaelewa mambo mengi aliyoyaamini malcom hasa kuelekea siku za mwisho za maisha yake
 
MALCOLM X alikuwa hero wangu toka udogoni na nimekisoma kitabu cha maisha yake alichoandika Alex Hailey nikiwa na miaka labda 15/16.

Kitabu hiki kinaitwa, ''The Autobiography of Malcolm X,'' (1965) na kiliandikwa na Alex Hailey na Malcolm X.

Nimekiangalia hapa Maktaba sijakiona lakini kilikuwapo.
Nilitaka nikuwekee uone cover ya 1965 ilivyokuwa.

Kitabu hiki kilichapwa baada ya kufa Malcolm na Alex Hailey akabadilisha mambo mengi katika kitabu.

Alex Hailey alilaumiwa sana kwa kufanya jambo hili.

Movie yake ilitoka mwaka wa 1992 mimi nikiishi mji mdogo Uingereza na nilikweda kuona senema hii kwenye ''premier'' yake muigizaji akiwa Denzel Washington muogozaji na mtengenezaji filamu hii Spike Lee ambae alicheza pia ndani ya hii movie.

Movie hii ilinirudisha utotoni kwani nilisikia nyimbo za nyakati zangu kama, ''Shot Gun ya Junior Walker,'' na ''A Change is Gonna Come,'' ya Sam Cooke.

Nilikuwa sijafika Amerika na nikikuona mbali sana.
Miaka ikapita nikaenda Amerika.

Nilipofika New York nimekuta ndiyo wiki kitabu cha Manning Marable, ''Malcolm X Life of Reinvention,'' ndiyo kimetoka na kwa bahati mbaya mwandishi alikufa wakati anakaribia kufanya uzinduzi wa kitabu hiki.

Nilikinunua kitabu hiki katika duka maarufu la vitabu Marekani, Barnes and Nobles sehemu za Manhattan.

Nilifika Harlem 125 Street mitaa aliyokuwa akivinjari Malcolm X wakati wake katika miaka ya 1950/60.

Nililiona lile jumba Audobon Ballroom ambamo Malcolm X alipigwa risasi.
Jumba hili liko katika njia kuelekea New Jersey kilipo Chuo cha Princeton.

Lakini hii ni stori nyingine siku ikitokea wasaa In Shaa Allah nitaieleza stori hii.
Nimekidhi viwango vya ''uso kwa uso?''

View attachment 2190247
kopi laini hii hapa kwa atakayehitaji . Pia ninacho kitabu cha Assata Shakur
 

Attachments

MALCOLM X alikuwa hero wangu toka udogoni na nimekisoma kitabu cha maisha yake alichoandika Alex Hailey nikiwa na miaka labda 15/16.

Kitabu hiki kinaitwa, ''The Autobiography of Malcolm X,'' (1965) na kiliandikwa na Alex Hailey na Malcolm X.

Nimekiangalia hapa Maktaba sijakiona lakini kilikuwapo.
Nilitaka nikuwekee uone cover ya 1965 ilivyokuwa.

Kitabu hiki kilichapwa baada ya kufa Malcolm na Alex Hailey akabadilisha mambo mengi katika kitabu.

Alex Hailey alilaumiwa sana kwa kufanya jambo hili.

Movie yake ilitoka mwaka wa 1992 mimi nikiishi mji mdogo Uingereza na nilikweda kuona senema hii kwenye ''premier'' yake muigizaji akiwa Denzel Washington muogozaji na mtengenezaji filamu hii Spike Lee ambae alicheza pia ndani ya hii movie.

Movie hii ilinirudisha utotoni kwani nilisikia nyimbo za nyakati zangu kama, ''Shot Gun ya Junior Walker,'' na ''A Change is Gonna Come,'' ya Sam Cooke.

Nilikuwa sijafika Amerika na nikikuona mbali sana.
Miaka ikapita nikaenda Amerika.

Nilipofika New York nimekuta ndiyo wiki kitabu cha Manning Marable, ''Malcolm X Life of Reinvention,'' ndiyo kimetoka na kwa bahati mbaya mwandishi alikufa wakati anakaribia kufanya uzinduzi wa kitabu hiki.

Nilikinunua kitabu hiki katika duka maarufu la vitabu Marekani, Barnes and Nobles sehemu za Manhattan.

Nilifika Harlem 125 Street mitaa aliyokuwa akivinjari Malcolm X wakati wake katika miaka ya 1950/60.

Nililiona lile jumba Audobon Ballroom ambamo Malcolm X alipigwa risasi.
Jumba hili liko katika njia kuelekea New Jersey kilipo Chuo cha Princeton.

Lakini hii ni stori nyingine siku ikitokea wasaa In Shaa Allah nitaieleza stori hii.
Nimekidhi viwango vya ''uso kwa uso?''

View attachment 2190247
Sorry , who is Malcolm X , anajulikana kama Nani , ni msanii? Mwanasiasa ? Tajiri ? Etc , kabla ya kuzama gugo nimeona nikuzoom kwanza
 
“The year of the ballot or the bullet “
Ipo YouTube!

Ukisikiliza hii hotuba yake utaelewa mambo mengi aliyoyaamini malcom hasa kuelekea siku za mwisho za maisha yakeE
Eli...
Kuna video ya Malcolm X alialikwa kuzunguzumza Oxford Union enzi za akina Tariq Ali.
Ipo YouTube.

Utamjua Malcolm X ni nani.
 
Analyse,
Picha za Malcolm X ziko nyingi sana mtandaoni huhitaji mtu akuwekee.

Nimeweka vitabu kuonyesha Maktaba ikiwa na kitabu cha Malcolm X.
Mzee umetalii sana hii dunia, hivi ulishawahi kuonana na Ali Muhsini ?
 
Mzee umetalii sana hii dunia, hivi ulishawahi kuonana na Ali Muhsini ?
Proved,
Unaweza kumtambua Sheikh Ali Muhsin katika hiyo picha?

Mimi je?
Muscat nyumbani kwa wanae mwezi wa Ramadhani kama huu 1999.

Screenshot_20220418-190033_Photos.jpg
 
MALCOLM X alikuwa hero wangu toka udogoni na nimekisoma kitabu cha maisha yake alichoandika Alex Hailey nikiwa na miaka labda 15/16.

Kitabu hiki kinaitwa, ''The Autobiography of Malcolm X,'' (1965) na kiliandikwa na Alex Hailey na Malcolm X.

Nimekiangalia hapa Maktaba sijakiona lakini kilikuwapo.
Nilitaka nikuwekee uone cover ya 1965 ilivyokuwa.

Kitabu hiki kilichapwa baada ya kufa Malcolm na Alex Hailey akabadilisha mambo mengi katika kitabu.

Alex Hailey alilaumiwa sana kwa kufanya jambo hili.

Movie yake ilitoka mwaka wa 1992 mimi nikiishi mji mdogo Uingereza na nilikweda kuona senema hii kwenye ''premier'' yake muigizaji akiwa Denzel Washington muogozaji na mtengenezaji filamu hii Spike Lee ambae alicheza pia ndani ya hii movie.

Movie hii ilinirudisha utotoni kwani nilisikia nyimbo za nyakati zangu kama, ''Shot Gun ya Junior Walker,'' na ''A Change is Gonna Come,'' ya Sam Cooke.

Nilikuwa sijafika Amerika na nikikuona mbali sana.
Miaka ikapita nikaenda Amerika.

Nilipofika New York nimekuta ndiyo wiki kitabu cha Manning Marable, ''Malcolm X Life of Reinvention,'' ndiyo kimetoka na kwa bahati mbaya mwandishi alikufa wakati anakaribia kufanya uzinduzi wa kitabu hiki.

Nilikinunua kitabu hiki katika duka maarufu la vitabu Marekani, Barnes and Nobles sehemu za Manhattan.

Nilifika Harlem 125 Street mitaa aliyokuwa akivinjari Malcolm X wakati wake katika miaka ya 1950/60.

Nililiona lile jumba Audobon Ballroom ambamo Malcolm X alipigwa risasi.
Jumba hili liko katika njia kuelekea New Jersey kilipo Chuo cha Princeton.

Lakini hii ni stori nyingine siku ikitokea wasaa In Shaa Allah nitaieleza stori hii.
Nimekidhi viwango vya ''uso kwa uso?''

View attachment 2190247
Nimevisoma hivyo vitabu vya Malcolm X vilivyoandikwa na Alex Haley na Manning Marable.

Fascinating reads.
 
Proved,
Unaweza kumtambua Sheikh Ali Muhsin katika hiyo picha?

Mimi je?
Muscat nyumbani kwa wanae mwezi wa Ramadhani kama huu 1999.

View attachment 2192070
Wewe ni rahisi kukutambua ila Muhsin sitaweza labda unionyeshe.

Ina maana tangu 1964 huyu Mzee Muhsin hakuwahi kukanyaga tena ardhi ya Zanzibar mpaka anafariki ?....wanae je,hakuwahi kufika Zanzibar ?
 
MALCOLM X alikuwa hero wangu toka udogoni na nimekisoma kitabu cha maisha yake alichoandika Alex Hailey nikiwa na miaka labda 15/16.

Kitabu hiki kinaitwa, ''The Autobiography of Malcolm X,'' (1965) na kiliandikwa na Alex Hailey na Malcolm X.

Nimekiangalia hapa Maktaba sijakiona lakini kilikuwapo.
Nilitaka nikuwekee uone cover ya 1965 ilivyokuwa.

Kitabu hiki kilichapwa baada ya kufa Malcolm na Alex Hailey akabadilisha mambo mengi katika kitabu.

Alex Hailey alilaumiwa sana kwa kufanya jambo hili.

Movie yake ilitoka mwaka wa 1992 mimi nikiishi mji mdogo Uingereza na nilikweda kuona senema hii kwenye ''premier'' yake muigizaji akiwa Denzel Washington muogozaji na mtengenezaji filamu hii Spike Lee ambae alicheza pia ndani ya hii movie.

Movie hii ilinirudisha utotoni kwani nilisikia nyimbo za nyakati zangu kama, ''Shot Gun ya Junior Walker,'' na ''A Change is Gonna Come,'' ya Sam Cooke.

Nilikuwa sijafika Amerika na nikikuona mbali sana.
Miaka ikapita nikaenda Amerika.

Nilipofika New York nimekuta ndiyo wiki kitabu cha Manning Marable, ''Malcolm X Life of Reinvention,'' ndiyo kimetoka na kwa bahati mbaya mwandishi alikufa wakati anakaribia kufanya uzinduzi wa kitabu hiki.

Nilikinunua kitabu hiki katika duka maarufu la vitabu Marekani, Barnes and Nobles sehemu za Manhattan.

Nilifika Harlem 125 Street mitaa aliyokuwa akivinjari Malcolm X wakati wake katika miaka ya 1950/60.

Nililiona lile jumba Audobon Ballroom ambamo Malcolm X alipigwa risasi.
Jumba hili liko katika njia kuelekea New Jersey kilipo Chuo cha Princeton.

Lakini hii ni stori nyingine siku ikitokea wasaa In Shaa Allah nitaieleza stori hii.
Nimekidhi viwango vya ''uso kwa uso?''

View attachment 2190247
Babu shukrani kwa bandiko lako...Napenda pia nyimbo za sam cooke kuna moja inaitwa "Wonderful World" ya 1960s
 
Wewe ni rahisi kukutambua ila Muhsin sitaweza labda unionyeshe.

Ina maana tangu 1964 huyu Mzee Muhsin hakuwahi kukanyaga tena ardhi ya Zanzibar mpaka anafariki ?....wanae je,hakuwahi kufika Zanzibar ?
Proved,
Kulia ni Sheikh Abdallah Muhsin, Sheikh Ali Muhsin, Mohamed Said na Farouk Abdallah.

Sheikh Ali Muhsin alifungwa kwenye jela za Tanganyika kwa miaka 10 na alipotolewa jela akapelekwa Zanzibar.

Kisha akaja Dar es Salaam kwa mipango ya kutoroka kwani ilimdhihirikia hatoweza kuondoka kisheria.

Alitoroka Mwezi wa Ramadhani kama huu akisaidiwa na wasamaria wema akavuka mpaka kuingia Kenya akipitia Horohoro njia za panya kwenda Mombasa.
 
Proved,
Kulia ni Sheikh Abdallah Muhsin, Sheikh Ali Muhsin, Mohamed Said na Farouk Abdallah.

Sheikh Ali Muhsin alifungwa kwenye jela za Tanganyika kwa miaka 10 na alipotolewa jela akapelekwa Zanzibar.

Kisha akaja Dar es Salaam kwa mipango ya kutoroka kwani ilimdhihirikia hatoweza kuondoka kisheria.

Alitoroka Mwezi wa Ramadhani kama huu akisaidiwa na wasamaria wema akavuka mpaka kuingia Kenya akipitia Horohoro njia za panya kwenda Mombasa.

..tunaweza kusema Sheikh Ali Muhsin ana bahati hakuuwawa.

..labda kwasababu alifungwa ktk magereza[ Dsm, Dom, Mwanza, Bukoba] ya Tanganyika.

..angeachwa Zanzibar huenda angeuawa kama wakina Hanga, Twala, Mdungu Usi, Majura, na wengine.

..naomba isieleweke kwamba hakupitia mateso, kwani kukaa kifungoni toka 1964 mpaka 1974 ni mateso makubwa.

.. Mohamed Said unaweza kunielekeza wapi naweza kununua tafsiri ya Koran iliyoandikwa na Sheikh Ali Muhsin?
 
..tunaweza kusema Sheikh Ali Muhsin ana bahati hakuuwawa.

..labda kwasababu alifungwa ktk magereza[ Dsm, Dom, Mwanza, Bukoba] ya Tanganyika.

..angeachwa Zanzibar huenda angeuawa kama wakina Hanga, Twala, Mdungu Usi, Majura, na wengine.

..naomba isieleweke kwamba hakupitia mateso, kwani kukaa kifungoni toka 1964 mpaka 1974 ni mateso makubwa.

.. Mohamed Said unaweza kunielekeza wapi naweza kununua tafsiri ya Koran iliyoandikwa na Sheikh Ali Muhsin?
JK,
Unakusudia Qur'an iliyotafsiriwa.

Hii inagawiwa bure kwa bahati mbaya nakala zimekwisha.

Screenshot_20220419-070803_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom