DR SANTOS
JF-Expert Member
- Mar 11, 2019
- 12,846
- 28,106
effiel towerWajinga...
Msome katikati ya mistari utamuelewa.
Ukimuelewa hutasema, ''Utajuaje...''
Nawe kwa kauli hiyo na neno ''nu yoku.''
Umekuwa kama yeye.
Nami nitakupa jibu kama nililompa yeye.
Hii utajuaje yako ya ''nu yoku'' ingekuwa na maana kama ningekuwa nimefika New York peke yake.
Vipi kuhusu hiyo hapo chini?
View attachment 2190165
Paris