Malcom X: Ni kipi kirefu cha hiyo 'X'?

Malcom X: Ni kipi kirefu cha hiyo 'X'?

Kuna kichwa kimoja now kinaitwa Louis Farrakhan mwanzoni na yeye alikuwa anajiita louis X ndio kiongozi Wa sasa Wa national of Islam(NOI) na ndiye aliyemrith malcom x baada ya Malcolm kufa. Jamaa ni noma kwa ambaye hajawahi kukutana na speech zake atafute youTube ndo utaelewa nikisema jamaa ni noma
Louis Farakhan hakumrithi Malcom X. Wote wawili walikuwa wafuasi wa Alijah Mohamad, mwanzilishi wa Nation of Islam. Baadae Malcom X alitofautiana nao hasa baada ya kwenda Hija na kugundua Uislam original. Inasemekana tofauti hizo ndizo zilisababisha Malcom auwawe na Nation of Islam, ingawa kuna wengine wanaoamini kuwa aliuwawa na system ya Marekani kwa sababu ya mawazo yake ya kimapinduzi. Louis Farakhan alichukua uongozi wa Nation of Islam baada ya kifo cha Elijah Mohamad. Wakati huo Malcom alishauwawa siku nying.
 
Malcom Little alikuwa ni mkristo, na alipobadili dini kuwa Islam, ndipo alipobadili jina na kuwa Malcom X.
Si sawa kuwa alilikataa jina na Little kwa maana kuwa ni la kitumwa.
Hata Cassius Clay alipobadili dini na kuwa muislam, awali alijulikana kama Cassius X, kabla kujulikana baadae kama Muhamad Ali.
X kwa nyakati hizo ilitumika kama, alieacha kitu fulani ie imani.
Kwa vijana waliojiunga na Nation of Islam wakati huo kuacha majina (surnames) ilikuwa na lengo la kukataa majina ya wamiliki wao enzi za utumwa. Badala yake wakawa wanajiita X. Watumwa walikuwa wanajulikana kwa surnames za wamiliki wao. Kwa hiyo mpaka leo wengi wa African-Amricans wanajulikana kwa majina yale kwa vile hawajui majina yao ya asili (ya Kiafrika).
 
Louis Farakhan hakumrithi Malcom X. Wote wawili walikuwa wafuasi wa Alijah Mohamad, mwanzilishi wa Nation of Islam. Baadae Malcom X alitofautiana nao hasa baada ya kwenda Hija na kugundua Uislam original. Inasemekana tofauti hizo ndizo zilisababisha Malcom auwawe na Nation of Islam, ingawa kuna wengine wanaoamini kuwa aliuwawa na system ya Marekani kwa sababu ya mawazo yake ya kimapinduzi. Louis Farakhan alichukua uongozi wa Nation of Islam baada ya kifo cha Elijah Mohamad. Wakati huo Malcom alishauwawa siku nying.
Mkuu baada ya Malcom kujitoa NOI Farrakhan ndo alichukua nafasi yake kama spokeman wa NOI kabla hata Elijah Mohamed kufa...Na pia Malcom alishajitoa NOI kabla hajaenda Mecca
 
Ni kwel atuhumiwa lkn hakuna ushahidi km alihusika kwel.
Louis alijiunga na NOI wkt malcom bado hajitoa na malcom alipojitoa yy ndo akaja kuwa minister wa NOI. Na ndio maana wanahusishwa na kifo cha malcom maan wengne wanamtuhum yy alichangia malcom kujtoa NIO. Japo yy anakataa kwamba hausiki na chochote kuhusiana na kifo cha malcom.
Farrakhan kauli zake zinamfunga..Uwa namuona kama msanii hivi
 
Kivp mkuu.
Baadhi ya kauli za Farrakhan
1-Miezi miwili kabla ya kifo cha Malcom,Farrakhan alisema "Kifo cha malcom kishaandaliwa na hawezi kuescape"
2-Baada ya kifo cha Malcom..Farrakhan anasema hakuhusika na mauaji ila aliandaa mazingira yaliyopelekea kifo cha jamaa
3-"I love Elijah muhammad..If u attack him i will kill u..Yesterday,today and tomorrow" hiyo aliitoa siku akiongelea kujitoa kwa Malcom NOI
4-Kuna moja alisema Malcom was our traitor..Hata tukimuattack ni none of your business
 
brother-malcolm11.jpg

Jina halisi la Malcolm X ni Malcolm little
Malcolm ni Black american,wakati ubaguzi wa rangi ulivyokuwa umeshamiri kule Marekani
wazungu[slave's masters wa wakati ule]walikuwa na kawaida ya kuwapa majina ya kejeli na dharau watoto wa Ki-negro,mathalani
Little ina maana ya kitu kidogo au dhaifu

Baada ya kuona hivyo,Malcolm akaamua kuondoa Jina la 'little' na kuweka X

Nini maana ya herufi X?
X kwa kawaida hutumika kuwakilisha kitu kisichojulikana au usichokijua
Malcolm alichagua herufi X kuwakilisha Jina la Babu au mababu zake kutoka Afrika,ambayo yeye alikuwa hayajui.
Pia X inatumika kuonyesha asili ya mtu mweusi ambayo imepotezwa na utandawazi

Oya nafikiri umenielewa,Btw karibu sana mkuu!
JI ndiyo jukwaa pendwa hapa JF.
"My father didn't know his last name, my father got his last name from my grandfather,my grandfather got his last name from his grandfather and my great grandfather got his last name from slavemaster"-Malcom X
 
Anaitwa malcom xerunga sailongai hilo la mwwisho haliku appear sana kwenye writtings
 
brother-malcolm11.jpg

Jina halisi la Malcolm X ni Malcolm little
Malcolm ni Black american,wakati ubaguzi wa rangi ulivyokuwa umeshamiri kule Marekani
wazungu[slave's masters wa wakati ule]walikuwa na kawaida ya kuwapa majina ya kejeli na dharau watoto wa Ki-negro,mathalani
Little ina maana ya kitu kidogo au dhaifu

Baada ya kuona hivyo,Malcolm akaamua kuondoa Jina la 'little' na kuweka X

Nini maana ya herufi X?
X kwa kawaida hutumika kuwakilisha kitu kisichojulikana au usichokijua
Malcolm alichagua herufi X kuwakilisha Jina la Babu au mababu zake kutoka Afrika,ambayo yeye alikuwa hayajui.
Pia X inatumika kuonyesha asili ya mtu mweusi ambayo imepotezwa na utandawazi

Oya nafikiri umenielewa,Btw karibu sana mkuu!
JI ndiyo jukwaa pendwa hapa JF.


Big Up sana kwako bro
 
Very clever...na wale wamejipa majina ya kiswahili kama akina Karenga,Cheo,Mfalme Kabisa,Zuri Jones,etc

Hawa jamaa wananifurahishaga,wanakumbuka sana kwao

Hewa mmoja kama Marion "Suge" Knight anasema hataki waitwe African Americans kwani anaamini hawajatoka Africa neccesarily,duh..huyu jamaa kilaza sana
hatuwezi kuwa sawa kwa kila jambo japo kuna African Americans wengi sana wanatafuta roots zao kriss Turker.....zimbabwe, amefika huko......na wengi wao ni senegal via haiti then USA
 
Back
Top Bottom