Male to Female journey of Bruce Jenner

Male to Female journey of Bruce Jenner

Breaking news, Bruce or Caitlyn Jenner hasn't had surgery yet . He still has a penis, so all men who want to spend time with him/her are allowed to use the back door.
Aiisee,hii hai-sound vizuri kwa watoto
 
Siku ya mwisho kuna baadhi ya mambo ambayo ht Mungu mwenyewe atashindwa atoe hukumu gani.
 

President Obama
has weighed in on Caitlyn Jenner's new journey, by heaping praise on her.

The Prez just tweeted, "It takes courage to share your story," adding, "Your story matters in the fight for LGBT rights."
It's a huge victory for the LGBT community. It's one thing for the President to acknowledge LGBT rights during a State of the Union address ... it's another to voice strong support for the person who has become the most visible transgender person in the world.


0601-barack-obama-caitlyn-jenner-vanity-fair-getty-7.jpg
 
Africa tunavyopenda kuiga kuna watu watabadilisha jinsia zao.
 
Nimeona hii picha, haya ma boob mbona yamewekwa makwapani, hawajayakosea kweli haya? Au macho yangu tu?

0601-caitlyn-jenner-sherwood-country-club-7.jpg
 
Watu wamekula jicho utamu umezidi anataka awe na mbunye.
 
Kim k (step daughter) anavyomsifia sasa mshua ake CNN. Yaan hii familia ina kama laana ya kizazi kwa kizazi. Huyo huyo kim k kauzaga sex tape ili awe maarufu duniani! Khloe k mme wake lamar odom ana bonge moja la scandal kulihadhithia hapa ni aibu! Mama yao sasa (kris jenner) nae ana liskendo la kumkill first husband wake robert kardashian baada ya kushtukia hao watoto sio wake ( yaani kourtney, kim, khloe na roby). Sasa hivi huyo mbibi (kris) anatembea na kijukuu chake cha 25 yrs!
 
Kim k (step daughter) anavyomsifia sasa mshua ake CNN. Yaan hii familia ina kama laana ya kizazi kwa kizazi. Huyo huyo kim k kauzaga sex tape ili awe maarufu duniani! Khloe k mme wake lamar odom ana bonge moja la scandal kulihadhithia hapa ni aibu! Mama yao sasa (kris jenner) nae ana liskendo la kumkill first husband wake robert kardashian baada ya kushtukia hao watoto sio wake ( yaani kourtney, kim, khloe na roby). Sasa hivi huyo mbibi (kris) anatembea na kijukuu chake cha 25 yrs!

Yani Kim kardahian hana aibu aisee alivokua ana msifia eti aachwe afanye akitacho na akisikiacho mwenyewe. Kwenye episode ya Bruce Jenner special mwanawe Kendall Jenner alikua analia sana yeye na khloe na mama yao. Ila Kim mkavu ndo anachekelea na kwenda kumchagulia nguo za kike na viatu.
Kendall aliumia kutoka moyoni hafu khloe sio mtoto wa Robert kardashian hafu huwa wanamtenga kaka yao Rob. Hii familia ni most hated celebrity wa Hollywood sijui ni ma agent.
 
Mnaoshangaa hii mambo, jirani yenu kuna Audrey Mbugua. Google him...sorry, her.
 
Yani Kim kardahian hana aibu aisee alivokua ana msifia eti aachwe afanye akitacho na akisikiacho mwenyewe. Kwenye episode ya Bruce Jenner special mwanawe Kendall Jenner alikua analia sana yeye na khloe na mama yao. Ila Kim mkavu ndo anachekelea na kwenda kumchagulia nguo za kike na viatu.
Kendall aliumia kutoka moyoni hafu khloe sio mtoto wa Robert kardashian hafu huwa wanamtenga kaka yao Rob. Hii familia ni most hated celebrity wa Hollywood sijui ni ma agent.

Duuuh! Umejuajeee? Yan kama uliota. Hilo likim kardashian silipendagi kama nini japo hanijui!.. Toka nione sextape yake na randy norwood ( kaka ake brandy) naskiaga kichefuchefu!!. Huyo kendall mwenyewe mshenzi tu c katoka kuvunja ndoa ya tyga juzi juzi hapa nae analipwa malipo hapa hapa! Huyo ROB bangi nyingi anatengwa coz anawapaga makavu live dada zake esp. Kim k hawapendani hao mpaka harusi yake na kanye hakuhudhuria!
 
Mmmmmmmh

Mmmmmmmmmmmmmh


Kim k (step daughter) anavyomsifia sasa mshua ake CNN. Yaan hii familia ina kama laana ya kizazi kwa kizazi. Huyo huyo kim k kauzaga sex tape ili awe maarufu duniani! Khloe k mme wake lamar odom ana bonge moja la scandal kulihadhithia hapa ni aibu! Mama yao sasa (kris jenner) nae ana liskendo la kumkill first husband wake robert kardashian baada ya kushtukia hao watoto sio wake ( yaani kourtney, kim, khloe na roby). Sasa hivi huyo mbibi (kris) anatembea na kijukuu chake cha 25 yrs!
 
Duuuh! Umejuajeee? Yan kama uliota. Hilo likim kardashian silipendagi kama nini japo hanijui!.. Toka nione sextape yake na randy norwood ( kaka ake brandy) naskiaga kichefuchefu!!. Huyo kendall mwenyewe mshenzi tu c katoka kuvunja ndoa ya tyga juzi juzi hapa nae analipwa malipo hapa hapa! Huyo ROB bangi nyingi anatengwa coz anawapaga makavu live dada zake esp. Kim k hawapendani hao mpaka harusi yake na kanye hakuhudhuria!

Yani Kim yuko radhi afanye lolote ili kupata publicity tu. Kila siku kupiga mapicha ya uchi kama ile aliyo break internet alifanya part ya kujipongeza eti. Rob huwa hapendi ujinga wao na Khloe ndo alikua anaishi naye wakati wa lamar. Sasa Kim ndo anasikilizwa akamkataza mamake na khloe kumsaidia Rob na kumtoa kwenye house yao. Ila hata mama yao ana influence vibaya aisee.
Jana alifurahi kutangaza kuhusu mimba yake na Bruce kuwa Caitylin.
Kim anachukiwa mno insta yake huwa anapewa makavu sana lakini hakomi.
At least kourtney ndo huwa hamkopeshi kuna siku alimgomea Ku appear kwenye game yake sasa akamtukana dadake eti ashukuru ka si yeye ndo alimletea hyo carrier na alipofikia.
 
Back
Top Bottom