Male to Female journey of Bruce Jenner


Eeeh mwaya ile party yake ya kukaa uchi mpaka akapandikizwa matako ya farasi!.. Yaan kim huko USA wanamwonaga kama mwehu tu obama hataki hata kumsikia!... Mi ananiachaga hoi anavyojipendekeza kwa beyonce, mtoto wa wa2 anajiheshim yeye anamletea usodoma wake, imebaki anamkwepaga tu maana beyonce mpole sana yule!
 
Hahahah yaaji nyie watu mnenifurahisha

Yaani mnavyoiongelea hiyo familia aa if mnaishi nao jirani au ni wanaujamaa na nyie

Nimecheka mpaka nikasahau njaa...





 
Hahahah yaaji nyie watu mnenifurahisha

Yaani mnavyoiongelea hiyo familia aa if mnaishi nao jirani au ni wanaujamaa na nyie

Nimecheka mpaka nikasahau njaa...

Sina hata undugu zaidi ya kuona kwenye reality show yao ya Keeping up with the kardashians hasa ya Bruce Jenner nilijua niutani, kumbe kweli akajibadilisha jinsia.
 
Sina hata undugu zaidi ya kuona kwenye reality show yao ya Keeping up with the kardashians hasa ya Bruce Jenner nilijua niutani, kumbe kweli akajibadilisha jinsia.

Haa haaa shost tumetupia mastory moko,kumbe wa2 wanatuchora tu.kwi kwi kwi na mi naitwa catalyin cjui catalunya jenner.. 65 yrs unadmire transgender? Nimeskia kalipwa mabilion kufanya hyo ki2 na wajenzi wenzie ili kuvutia other people around the world kufanya huo ubaradhuli we humuoni Obama anavyoshobokea! !
 

Na katumiwa kabisa na hao wajenzi wenzie ili kuhalalisha ionekane ni jambo LA kawaida duniani watu waanze kufanya. Ndo mana imepewa coverage sana kwenye media kubwa hadi Obama kampongeza.
Kweli hizi nyakati za mwisho ni nikinyume na maandiko. Sasa hawa kwa vile show yao ina coverage ndo anatumika na hakua na jinsi mana anapenda fame.
 
A modified man! Bonge la Punga! ATTACH]256571[/ATTACH]
 

Attachments

  • ImageUploadedByJamiiForums1433282315.321486.jpg
    27.2 KB · Views: 284
mume wa kwanza wa kris jenner alikufa na cancer miaka miwili mbele baada ya kuachana na kris na alikuwa akiishi na mwanamke mwingine ambaye alimuoa baada ya mwezi akafa.na boyfriend wake wa sasa ana miaka 34 na sio 29 kris ana 59. na aliyesambaza sex tape ya kim ni ray j akidhani anamkomoa kim ndo akawa maarufu kumzidi.
kendall jenner hajavunja ndoa ya mtu mdogo wake kyle ndo anamdate tyga.
 

Huyu alikuwa na hamu ya kutendwa muda mrefu sana lkn alikuwa anaona ka aibu flan.
Sasa amekamilisha lengo.
Atakula fimbo lugoda mpaka akili imsogee
 
Hivi unayo akili timamu Kweli?
Kuna tofauti kati ya huyo kim na obama au beyonce na kim, kwa iyo kwa ufahamu wako beyonce anajiheshimu???
 
Miss caitlyn mwe!!
Mjanja huyu alihojiwa mwanzo akakataa kutaja jina akijua kabisa ipo siku akishajibadilisha kabisa atapata tenda ya kuwekwa kwenye magazine na lazima mpunga uingie. Hapo kalipwa kujitangaza sio bure.
 
Duh Mungu kwa kweli ana huruma sana na sisi waja wake sioni sababu ya Mungu kumchekea baradhuri uyu mpaka anamletea dosari kiasi hiki mimi na mabalaa yangu sintokubali kukaa nae moto unaofanana khaaa kapitiliza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…