Malecela apongeza uimara wa CCM na Serikali zake kutumikia Watanzania

Anatamani tu azikwe Kwa heshima.
 
Hivi hata anajua kweli kinachoendelea nchini sasa hivi? Inawezekana hata ameshau kuwa aliwahi kubadili dini akaitwa Jumanne ili apate support ya Iran kupata Urais wa Tanzania.Bure kabisa hili zee. Na pia hata hana kumbukumbu kuwa huyo aliyekaa naye hapo alituhumiwa kumtoa roho mwanawe Ipy katika harakati za kugombea uongozi wa Uvccm.
 
Malecela inabidi asifu tu, akiongea kama mwenzake Warioba atajibiwa nyodo, ataambiwa akae kimya ajilie pensheni yake taratibu
 

Nchimbi, Nchimbi, Nchimbi..... Muacheni Mzee wa watu apumzike. msimfanye mzee wa watu mateka baada ya kumnyanyasa kimyakimya .... ana machungu yake moyoni huyu Mzee. Nendeni kwa Warioba au Matiku mpewe ukweli na hali halisi ya nchi.
 
Malecela alifanya kitu gani cha maana kwa Watanzania......chawa kikongwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…