Kikombe kinafurika
Member
- Mar 2, 2012
- 65
- 2
Hii ni situation ya kweli hapa nchini, hv ni haki kwel kwa mwanachuo wa kike kulazimishwa kungonoka na lecturer ndo apewe coursework acpofanya hivo anasapushwa ikiwezekana na kukeri kabisa hilo somo, naombeni mawazo yenu ktk hili hv tufanyeje'