Kikombe kinafurika
Member
- Mar 2, 2012
- 65
- 2
Hii ni situation ya kweli hapa nchini, hv ni haki kwel kwa mwanachuo wa kike kulazimishwa kungonoka na lecturer ndo apewe coursework acpofanya hivo anasapushwa ikiwezekana na kukeri kabisa hilo somo, naombeni mawazo yenu ktk hili hv tufanyeje'
Hii ni situation ya kweli hapa nchini, hv ni haki kwel kwa mwanachuo wa kike kulazimishwa kungonoka na lecturer ndo apewe coursework acpofanya hivo anasapushwa ikiwezekana na kukeri kabisa hilo somo, naombeni mawazo yenu ktk hili hv tufanyeje'
Hii ni situation ya kweli hapa nchini, hv ni haki kwel kwa mwanachuo wa kike kulazimishwa kungonoka na lecturer ndo apewe coursework acpofanya hivo anasapushwa ikiwezekana na kukeri kabisa hilo somo, naombeni mawazo yenu ktk hili hv tufanyeje'
Na wanafunzi wa kiume wanatakiwa kutoa nini if that is the case? Acha kutoa sweeping statement hapa!
Kwa kiac kikubwa wa kiume ni pesa tu ndo huwa wanatoa,