Malecture wa chuo Bwana wanapenda

Joined
Mar 2, 2012
Posts
65
Reaction score
2
Hii ni situation ya kweli hapa nchini, hv ni haki kwel kwa mwanachuo wa kike kulazimishwa kungonoka na lecturer ndo apewe coursework acpofanya hivo anasapushwa ikiwezekana na kukeri kabisa hilo somo, naombeni mawazo yenu ktk hili hv tufanyeje'
 
Mkuu usilete habari za kufikirika hapa, wengine wake zetu wako vyuoni ni wanafunzi, sasa usitufanye tukapata presha bure.
 
Hii ni situation ya kweli hapa nchini, hv ni haki kwel kwa mwanachuo wa kike kulazimishwa kungonoka na lecturer ndo apewe coursework acpofanya hivo anasapushwa ikiwezekana na kukeri kabisa hilo somo, naombeni mawazo yenu ktk hili hv tufanyeje'


Ukiona hivyo wahi kuripoti TAKUKURU huyo mwalimu awe mfano kwa wengine wanafunzi mnalea tabia hii itakuwa sugu sasa.
 
Hii ni situation ya kweli hapa nchini, hv ni haki kwel kwa mwanachuo wa kike kulazimishwa kungonoka na lecturer ndo apewe coursework acpofanya hivo anasapushwa ikiwezekana na kukeri kabisa hilo somo, naombeni mawazo yenu ktk hili hv tufanyeje'

Na wanafunzi wa kiume wanatakiwa kutoa nini if that is the case? Acha kutoa sweeping statement hapa!
 
Reactions: Nzi
Si kweli, anapima kina cha maji kwanza
Kama msichana analika, anamla. Hawezi disko kisha amemnyima mtu K
 
Yaan mkuu hii ni live bila chenga, tena wake za watu ndo wanavua kabisa wanavua hadi pete za ndoa ili ..........
 
wala hili halina uthibitisho; wote tumesoma vyuo vikuu na kuona jinsi wasichana au wake zetu wanavyolazimisha ngono wenyewe kwa walimu hawa! Kama wanliwa basi n kwa sababu ya umala wao na sio kwa sababu atakamatwa! Fanya utafiti vizuri uone jinsi walimu wa vyuo wanvyopata shida kuzikimbia ngono za wanavyuo hawa
 
Inategemea na jinsi unavojiweka bana! Lecturer hawezi kukufuata tu from no where,mara nyingi tatizo huanza kwa mwanamke/msichana mwenyewe..unakuta mdada anaendekeza starehe at the end of the day anafail..akishaona hivyo anaanza kujichekesha kwa malecturer na kuwafata ofisini wamsaidie.,hapo ukitongozwa utalalamika??
 
Tatizo si la malecturer bali wanavyuo wenyewe. Wengi ni wavivu hawasomi inapofikia mambo yanakuwa magumu wanaona ni bora wajisalimishe ili wasaidiwe. Muhimu wanachuo wajue kilichowapeleka chuo ni nini?
 
jamani...mbona wengine tumesoma hatukuwahi kuombwa? Ina maana tuna sura za kutisha au?

Kwanza huo muda wa kuonana na malecture(nje ya darasa) wanautoa wapi?
 
Hii ni situation ya kweli hapa nchini, hv ni haki kwel kwa mwanachuo wa kike kulazimishwa kungonoka na lecturer ndo apewe coursework acpofanya hivo anasapushwa ikiwezekana na kukeri kabisa hilo somo, naombeni mawazo yenu ktk hili hv tufanyeje'

Chuo gani unaongelea..........
 
Hiyo ni kweli haina ubishi.Wengine wanatoa wenyewe baada ya kuona mambo yanakuwa magumu
 
mambo mengine kuendekeza huyo lecturer unayempa nafasi mpaka nje ya darasa mnakuwa na mahusiano gani mavyuo yenyewe yalivofurika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…