Kwanza ningependa niwape heri ya mwaka mpya wote tuliovuka mwaka salmin salama,
binafsi malengo yangu mwaka huu ni kumiliki bilion 300,japo saa hii niko na 200 tu nayo ipo kwa m-pesa lakini kwa imani MUNGU atanisaidia kufikia lengo,
mwanajamii mwenzangu una malengo gani mwaka huu?