Teleskopu
JF-Expert Member
- May 5, 2017
- 702
- 767
Dunia hii ina watu wanaoongoza mambo yote makubwa, kama vile uchumi, elimu, majeshi, sayansi, nk.
Kwa bahati mbaya sana, watu hawa wana malengo maovu mno, licha ya kuwa wao ni kikundi kidogo sana. Lakini baya zaidi asilimia zaidi ya 90 ya wanadamu hawana habari na kile kinachoendelea. Wakubwa hawa wanawaita hawa waliolala sheeple au goim.
Ili hawa sheeple waendelee kulala usingizi wa pono, na kuwaacha wakubwa wakiendelea kukamilisha mipango yao, wamewekewa mambo ya kipuzi ya kuwa-keep busy, kama filamu, mipira, muziki, vita kati ya nchi na nchi au dini na dini, nk, nk.
Malengo ya wakubwa hawa ni pamoja na:
Hapa tunaona mambo kadhaa ya msingi:
MASWALI YA KUJIULIZA
………….
Dunia inaswagwa kupelekwa mahali fulani.
Na wengi wamelala usingizi fofofo.
Hawana habari.
The world is not what you think it is!
Connect the dots.
.......
Pamoja na yote uyafanyayo ndugu yangu - USIMSAHAU MUNGU.
Dunia uliyoijua tangu uzaliwe IMEISHA. Tumo kwenye enzi nyingine kabisa sasa.
Kwa bahati mbaya sana, watu hawa wana malengo maovu mno, licha ya kuwa wao ni kikundi kidogo sana. Lakini baya zaidi asilimia zaidi ya 90 ya wanadamu hawana habari na kile kinachoendelea. Wakubwa hawa wanawaita hawa waliolala sheeple au goim.
Ili hawa sheeple waendelee kulala usingizi wa pono, na kuwaacha wakubwa wakiendelea kukamilisha mipango yao, wamewekewa mambo ya kipuzi ya kuwa-keep busy, kama filamu, mipira, muziki, vita kati ya nchi na nchi au dini na dini, nk, nk.
Malengo ya wakubwa hawa ni pamoja na:
- Kupunguza SANA idadi ya wanadamu
- Kuwa na totalitarian government kwenye dunia yote, yaani utawala wa udikteta, tena mkali.
- Kumtawala KILA MTU kwa kumwamulia cha kufanya, cha kula, pa kwenda, cha kuabudu na hata cha kufikiri.
- Kumiliki rasilimali ZOTE duniani – iwe ni madini, maji, misitu, nk.
Video hii inasema
Dunia inabadilika haraka.
Idadi ya watu inazidi kuongezeka.
Lakini tunaweza kushughulikia hilo.
Hadi kufikia 2030 halitakuwa tatizo tena.
Kwa msaada wa virusi vya kutengeneza
Na mashambulizi ya kiuchumi yanayolenga shabaha kwa usahihi (precision attacks)
tunaweza kushughulikia tatizo la binadamu
Wale mtakaobakia
Mtakuwa mkilindwa chini ya uangalizi
Mtaishi kwenye vijumba vidogo
Nyama si nzuri kwa afya
Mtakula wadudu
Hamtamiliki chochote na mtakuwa na furaha.
…………Hapa tunaona mambo kadhaa ya msingi:
- Wanadamu wengi kwao ni tatizo.
- Tatizo hilo mwisho ni mwaka 2030. Naamini umeshasikia kuhusu Agenda 2030.
- Yanakuja mashambulizi ya kiuchumi, mfano matetemeko, mafuriko, ukame, nk – YA KUTENGENEZA!!! Nayo ni precision attacks, yaani wakitaka tetemeko lipige Dar es Salaam na kufumuafumua bandari mnayotegemea, wanaweza – watu wamesha-advance kiasi hicho. Ni sisi tu tunaoshinda kuangalia mpira na filamu ndio tunaweza kubisha mambo hayo.
- Kuna watakaobakia – yaani wengine wataondoshwa.
MASWALI YA KUJIULIZA
- Watawezaje kupunguza wanadamu hadi wasiwe tena tatizo kama wanavyotuona?
- Watawezaje kumtawala kila mwanadamu atakayebaki duniani kote?
- Video inaposema TUNA... ni akina nani hao?
………….
Dunia inaswagwa kupelekwa mahali fulani.
Na wengi wamelala usingizi fofofo.
Hawana habari.
The world is not what you think it is!
Connect the dots.
.......
Pamoja na yote uyafanyayo ndugu yangu - USIMSAHAU MUNGU.
Dunia uliyoijua tangu uzaliwe IMEISHA. Tumo kwenye enzi nyingine kabisa sasa.