Malengo yangu nitakayoyatimiza nikifikisha miaka 40

Malengo yangu nitakayoyatimiza nikifikisha miaka 40

Ahahahaha..mkuu wewe ni mkali wa logical maths.
Nilikua nawaza nachomokea pande gani kujua umri wake kamil wa sasa?? Hapa nilikua najiuliza sana hatimae nikakutana na hii concept.. bravoo bro.
Wadogo zetu hawa bwana

Ila what if kwasasa ana miaka 35 na mwanae ana miaka 13 already na 40 years kwake ni justb5 year ahead??
Hesabu zake kubwa sana, maisha yanatusuprise sana.

Imagine mtu hadi anasema nitakua na mtoto ke na me yaani unachagua tu kama maroboti unaagiza kwa Elon.
 
Pembeni ya Blueband iyo Aloho ni sabuni au?
Ngoja nipangilie vitu vizuri nitaleta mrejesho
1000012807.jpg
 
Mkuu naomba na mimi niombee sio badae nataka uniombee now h
kama una mda..

Mimi nataka nipate mwenza ambaye atakua anaendana na hali yangu ya upambanaji ili tufike malengo...

Asiwe wa kunizidi umri awe wa kawaida ila awe ametoka sehemu ambayo sio hali ya chini kama mimi kwa maana kipofu hawezi mwendesha kipofu mwenzake

We unamjua Mshana Jr au unamsikia tu

Hapo utakwambia kwa jambo hilo maombi yatachelewa
fanya hv chukua mdaula ogea siku 7 na kunyunyiza ktk moto siku 7 mchana na jioni, utafanikiwa

au njoo msata kilingeni
 
Back
Top Bottom