Hesabu zake kubwa sana, maisha yanatusuprise sana.Ahahahaha..mkuu wewe ni mkali wa logical maths.
Nilikua nawaza nachomokea pande gani kujua umri wake kamil wa sasa?? Hapa nilikua najiuliza sana hatimae nikakutana na hii concept.. bravoo bro.
Wadogo zetu hawa bwana
Ila what if kwasasa ana miaka 35 na mwanae ana miaka 13 already na 40 years kwake ni justb5 year ahead??
Pembeni ya Blueband iyo Aloho ni sabuni au?Sikukatishi tamaa ila hata mimi mwenyewe nilikuwa na ndoto kama hizo, sasa hivi naishi ghetto ambalo ni kama stoo bora hata enzi za ujana nilikuwa ninamuelekeo
View attachment 3115512
Ngoja nipangilie vitu vizuri nitaleta mrejeshoPembeni ya Blueband iyo Aloho ni sabuni au?
Oya ili ghetto ni lako? Man una maisha simple sana.Ngoja nipangilie vitu vizuri nitaleta mrejeshoView attachment 3115518
Mkuu naomba na mimi niombee sio badae nataka uniombee now h
kama una mda..
Mimi nataka nipate mwenza ambaye atakua anaendana na hali yangu ya upambanaji ili tufike malengo...
Asiwe wa kunizidi umri awe wa kawaida ila awe ametoka sehemu ambayo sio hali ya chini kama mimi kwa maana kipofu hawezi mwendesha kipofu mwenzake
Mkuu tuombeane bana 😂😂😂😂We unamjua Mshana Jr au unamsikia tu
Hapo utakwambia kwa jambo hilo maombi yatachelewa
fanya hv chukua mdaula ogea siku 7 na kunyunyiza ktk moto siku 7 mchana na jioni, utafanikiwa
au njoo msata kilingeni
Inawezekana pia umebakisha miaka mi3 tu uanze kujicheka.22 ndio miaka ambayo nimempata mwanangu wa kwanza.
Now inawezekana nina miaka 37,hakuna pahala panapokuonesha umri wangu wa sasa hivi..
Miaka mi3 ni mingi sana,kuna watu wanatoboa within a year.Inawezekana pia umebakisha miaka mi3 tu uanze kujicheka.
Hongera ni hatua nzuri kuona yale uliyojipangia umeyafikiaMke ninae
Mahusiano stable tayari.
Watoto wawili tayari(me,ke)
Sehemu niliyopanga kununua eneo hilo tayari.
Umri ninao na unaelekea huko kwenye 40.
Nadhani nimebakiza vitu kadhaa
Hii blutus divais ndio kila kitu mzee...nikipiga ile ngoma ya Ngwair ni ghetto langu tu...najiona kama nipo New YorkOya ili ghetto ni lako? Man una maisha simple sana.
Naona “a blutus divais connected saksesfullu”
Ebu October 2025 tufanye maamuzi magumu aiseeHii blutus divais ndio kila kitu mzee...nikipiga ile ngoma ya Ngwair ni ghetto langu tu...najiona kama nipo New York
Mkuu umenichekesha sana...Hii blutus divais ndio kila kitu mzee...nikipiga ile ngoma ya Ngwair ni ghetto langu tu...najiona kama nipo New York