Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Jombaaa kuna kitu ujajua tuuUngejibebea mshangazi jombaa
πππAhahaha naskia raha sana ujue...
Nahisi kama kweli vile πππππππ
Malengo ni matarajio au mipango ya kufikia matokeo fulani au mabadiliko katika siku za usoni, ambayo yanahitaji juhudi au hatua za kuelekea kuboresha, kupata, au kubadilisha kitu kutoka hali ya sasa.22 ndio miaka ambayo nimempata mwanangu wa kwanza.
Now inawezekana nina miaka 37,hakuna pahala panapokuonesha umri wangu wa sasa hivi..
Inawezekana,Ukiwa umeajiriwa au mfanyabiashara, utarudi umechoka hata kusimamia mifugo na bustani hutoweza. Majukumu ni mengi muda mchache