Ni sawa lakini usipooa utaolewa.Unawezaje kufuga ng'ombe wakati maziwa yapo mengi tena mengine unapewa bure kabisa.
Watu walioa au kuolewa wanaishi kama hawako kwenye ndoa.
Nina ushahidi
1. Wanawake waliolewa wanazaa nje. Kuna mwanamke kazaa na mchepuko watoto 2 na mwanaume hajui. Watu wanalea watoto wa nje bila kujua
2. Nilishawahi kutembea na wanawake za watu. Mwingine nilimjaribu anizalie mtoto akakubali.
Kama hawa wanafanya hivi, kuna haja gani ya kuoa? Wake za watu wanaliwa sana mpk unapata hofu ya kuoa
wanaume tunamuwakilisha Mungu duniani. sasa tuna declare kushindwa jukumu letu, ni aibu sanaGood morning Tanganyika!
Nimeshindwa kuvumilia baada ya kuona ongezeko la mada za kupinga kuoa, ndoa na maisha ya ndoa! Jamii Forum ni kama kioo cha Taifa kwasasa. Think tank kubwa ya nchi nathubutu kusema iko humu JF, sasa kitu kinapotrend sana Jamii forum ni lazima upate picha ya kinachoendelea nchini.
Hili ongezeko la mada za kupinga, kukosoa, kukejeli ndoa na maisha ya ndoa si jambo zuri hata kidogo bali ni msiba kwa taifa zima! Kuna sumu mbaya wamelishwa vijana wetu na imewaingia barabara!
~ Kukataa ndoa ni kukataa kujikubali.
~ Ni kukataa kujitambua.
~ Ni kukataa majukumu.
~ Ni kukosa malezi sahihi.
~ Ni kukosa akili.
~ Ni kukosa hekima.
~ Ni kwenda kinyume na maagizo ya Mwenyezi Mungu (kwa waamini).
~ Ni kukosa upendo upeo na maono!
Tunataka kuunda Taifa gani bila ndoa?
~ Ndoa ndio chanzo cha familia.
~ Ndoa ni dalili njema ya ukomavu wa akili.
~ Ndoa ni msingi wa uwajibikaji kujali, amani, furaha na upendo.
~ Ndoa ni future, bila ndoa future haina maana sana.
~ Makuzi yasiyo sahihi.
~ Wazazi wasiojitambua.
~ Wazazi wasio na muda wala ukaribu na familia zao.
~ Utandawazi.
~ Elimu potofu mitandaoni juu ya dhana nzima ya ndoa na maisha yake ni visababishi vikubwa mno vya matokeo hasi wanayopata vijana kuhusu ndoa na wao bila kujitambua huyafanya hayo kama ndio uhalisia na kuja na mada za kila aina.
Kama maandiko ya misahafu ya kiimani yanawaasa wanaume waishi na wanawake kwa akili, tafsiri yake ni kwamba mkataa ndoa hana akili ndio maana hawezi kuishi maisha ya ndoa.
Ukomavu wa kiakili, maono na hekima hukufanya uitamani ndoa ili kujipima. Uwezo wako wa kumudu maisha ya ndoa. Utayari wako wa kuhudumia ndoa. Ujasiri wako wa kuyakabili magumu ya ndoa nk, nk.
Ndoa ni kwa ajili ya wanaume kamili. Ndoa si kwa ajili ya wavulana!
Mjadala utaendelea.
Sent from my LM-V500N using JamiiForums mobile app
Haya mengine ni mapokeo tuu lakini uhalisia ni mdogo sana starsNiliwahi kusikia tena eti ukioa wake wengi ndio akili inachaji sana na kwamba mke mmoja anakudumaza akili; je, hilo ni kweli Mshana Jr?
Asante sana[emoji1752]Asante sana Bwana Mshana kwa kuliona hili jambo.
Aisee.
Nimeacha wosia Uzi wa Wizara ya Afya kuhusu jambo kama hili, lakini nikiri, umewasilisha jinsi inavyohitajika na kwa mapana. Asante
Najua tunaokemea pepo la ndoa tutashinda ila Mungu atasema na sisi kwa namna nzuri tutarudi kuhubiri neno jema hapa
Kwani hakuna nanies? Kwani hata huyo mwanamke ukimoa atakuwa anashinda na mtoto masaa 24 au?Kamleee hamna tatizo ila wewe labda kama ni mama wa nyumbani ila wakiume una mambo mengi kachukue mtoto wa miaka 3 Kam utaweza kumlea.
Hizi hofu ni madhaifu na mapungufu katika ndoa.. Ukiona mwanamke anachepuka kisababishi kwa asilimia 90 ni mwanaume nina mifano ya kutoshaUnawezaje kufuga ng'ombe wakati maziwa yapo mengi tena mengine unapewa bure kabisa.
Watu walioa au kuolewa wanaishi kama hawako kwenye ndoa.
Nina ushahidi
1. Wanawake waliolewa wanazaa nje. Kuna mwanamke kazaa na mchepuko watoto 2 na mwanaume hajui. Watu wanalea watoto wa nje bila kujua
2. Nilishawahi kutembea na wanawake za watu. Mwingine nilimjaribu anizalie mtoto akakubali.
Kama hawa wanafanya hivi, kuna haja gani ya kuoa? Wake za watu wanaliwa sana mpk unapata hofu ya kuoa
Ndoa ingekuwa ni kitu chema hivyo usingewabeza ambao hawataki kuoa. Nyie kuleni raha tuacheni sisi ambao hatujaoa tuendelee kuteseka. Au sio?Wanao kataa ndoa hawana sababu za msingi zaidi zaidi wamejaa uwoga na kutojiamini. Hawana uwanaume wanaogopa kupenda wanaogopa wakipendwa
Atafute mwenyewe kwa vigezo vyake mkuu.Hata wwe unaelekea kuwa mzazi amini ..Tafuta familia ,tabia usizozipenda usivumilie kabisa kwa mkeo mtarajiwa Bora ukachukue kijijini.
Angalia tabia za mama ako na jinsi alivyokulea basi nawe tafuta mwanamke mwenye tabia izo ikiwezekana muombe mama ako akutafutie mchumba kutoka jamii yake.
Asilimia kubwa ya nyie wanawake ni nyoka wenye roho mbaya sana, i wish ungekuwa mwanaume ungeelewa ninachoongea, nitaoa nikipata mwanamke sahihi, huku mm nkiendelea kujifanyia continuos self improvement ya kuwa mume sahihi DemiUSIPOOA UTAOLEWA.
TAFUTA PESA