Uzuri wake toto likiwa na tabia mbaya jumuia inayokuzunguka itasema toto la gh hussa hiloWrite your reply...malezi ni ya mama Hata ndege na wanyama wanaonyesha tu we toka lini jogoo akazunguka na vifaranga yaani tuache kutafuta tukae na mtoto mda wote maybe mda ukipatikana sawa ila 80%mlezi ni mama na watoto wanakuwa vizuri tuu toka enzi za mababu tuache uzungu
Mtusamehee tu, acheni tukatafute pesa tukirud tutacheza wote, ikifikia kwenye hio potty training mtafanya nyiehttps://www.facebook.com/video.php?v=484448258838725
Tena wengine wanafikiri ni jukumu la dada wa kazi.
Ujinga mwingine wa 50 kwa 50https://www.facebook.com/video.php?v=484448258838725
Tena wengine wanafikiri ni jukumu la dada wa kazi.