sanalii
JF-Expert Member
- Oct 1, 2018
- 1,639
- 5,767
Baadhi ya wazazi out of love or foolishness wanamuamini mtoto undoubtably wakimchukulia kama malaika mtoto hadi kufikia hatua ya kutokuamini baadhi ya makosa yanayoripotiwa juu ya mtoto au hatua ya kutofikiri kwambaa huenda mtoto ana abc ambazo si njema.
Kuna muda yule mtoto anaeonekana ni mwema ndani ya nyumba ndo ana makando kando kuliko anaeonekana machepele, kama tunavyosema don't trust anyone, don't trust your kids either, the line between good and bad is very fine and it lies on everything human heart.
Kuna wazazi walidhani wanaodhesha watoto wao wakiwa bikra, kumbe hadi mimba walishatoa,
Ushahidi mfupi ni wewe mwenyewe kuwaza pale ambapo mzazi au mlezi alipokua anakukubali na kukuamin sana juu ya jambo fulanii kisha ukijua ulikua unafanya tofauti na alivyokua anadhani
Be open and expect the unexpected
Kuna muda yule mtoto anaeonekana ni mwema ndani ya nyumba ndo ana makando kando kuliko anaeonekana machepele, kama tunavyosema don't trust anyone, don't trust your kids either, the line between good and bad is very fine and it lies on everything human heart.
Kuna wazazi walidhani wanaodhesha watoto wao wakiwa bikra, kumbe hadi mimba walishatoa,
Ushahidi mfupi ni wewe mwenyewe kuwaza pale ambapo mzazi au mlezi alipokua anakukubali na kukuamin sana juu ya jambo fulanii kisha ukijua ulikua unafanya tofauti na alivyokua anadhani
Be open and expect the unexpected