Mali iliyoko Singida ni utajiri kwa watu wake na Taifa

Mali iliyoko Singida ni utajiri kwa watu wake na Taifa

Wakuu,

Mjadala unawekwa mezani kuhusu fursa za kiuchumi kutokana na rasilimali asili zilizoko Singida

1. Safu za mlima Sekenke hadi Makutupora ina mkanda wa madini ya Dhahabu. Wajerumani walivuna sana madini hayo na jinsi ya usafirishaji wake ilikuwa wanatumia mitaro ya zege.

2. Zao la Vitunguu ni moja la mazao la aina ya viungo kwenye chakula

3. Zao la korosho kwa kulingana na mazingira ya ustawi wake ni fursa ya kiuchumi kwa kuwa matumizi yake ni mtambuka (mafuta, kitafunwa, kimiminika cha alikoholi)

4. Miti asili ya Mihama inayofanana na minazi ambayo inaishi sio chini ya miaka 300

5. Maziwa yenye uhusiano wa kiasili (Singida na Kindai) moja lina maji chumvi jingine lina maji mchanyiko baridi na magadi yanafaa sana kwa uwekezaji wa kitalii, mapumziko na utafiti;

6. Miamba ya mawe iliyobebana kwa nguvu za asili bila kuanguka yanafaa kwa uwekezaji wa utalii

7. Zao la Alizeti ambapo mazao hayo yanawakilisha upendo na kudumisha uzao wenye furaha-mazao yake yanatumika utengenezaji wa mafuta, makapi/mashudu yake yanatumika kwa ajili ya kulisha mifugo

8. Upatikanaji wa ndege asili wa Kware na Kanga kwa wingi

9. Nyuki, asali na nta

10. Mazao ya karanga, njugu mawe, kunde, na ubuyu (kwa juisi, mafuta na sabuni)

Rasilimali nilizoainisha hapo juu ambazo zinapatikana kwa wingi huko Singida ni fursa pekee kwa watu na serikali kiuchumi na maendeleo
Mbeya ni zaidi Singida
 
Hapo namba 4 sio Mihama bali Mifama, matunda yake yanaitwa mafama, ndani yana rangi ya njano. Matamu kishenzi[emoji39]
Mihama na mahama ndiyo majina halisi mikoa mingi ya magharibi, kama kwenu inaitwa hivyo nalo ni sahihi, ng'ombe akiitwa ngombe huko Bukoba ni sahihi pia.
 
Wakuu,

Mjadala unawekwa mezani kuhusu fursa za kiuchumi kutokana na rasilimali asili zilizoko Singida

1. Safu za mlima Sekenke hadi Makutupora ina mkanda wa madini ya Dhahabu. Wajerumani walivuna sana madini hayo na jinsi ya usafirishaji wake ilikuwa wanatumia mitaro ya zege.

2. Zao la Vitunguu ni moja la mazao la aina ya viungo kwenye chakula

3. Zao la korosho kwa kulingana na mazingira ya ustawi wake ni fursa ya kiuchumi kwa kuwa matumizi yake ni mtambuka (mafuta, kitafunwa, kimiminika cha alikoholi)

4. Miti asili ya Mihama inayofanana na minazi ambayo inaishi sio chini ya miaka 300

5. Maziwa yenye uhusiano wa kiasili (Singida na Kindai) moja lina maji chumvi jingine lina maji mchanyiko baridi na magadi yanafaa sana kwa uwekezaji wa kitalii, mapumziko na utafiti;

6. Miamba ya mawe iliyobebana kwa nguvu za asili bila kuanguka yanafaa kwa uwekezaji wa utalii

7. Zao la Alizeti ambapo mazao hayo yanawakilisha upendo na kudumisha uzao wenye furaha-mazao yake yanatumika utengenezaji wa mafuta, makapi/mashudu yake yanatumika kwa ajili ya kulisha mifugo

8. Upatikanaji wa ndege asili wa Kware na Kanga kwa wingi

9. Nyuki, asali na nta

10. Mazao ya karanga, njugu mawe, kunde, na ubuyu (kwa juisi, mafuta na sabuni)

Rasilimali nilizoainisha hapo juu ambazo zinapatikana kwa wingi huko Singida ni fursa pekee kwa watu na serikali kiuchumi na maendeleo
Sawa nitakuja kwa ajili ya UWEKEZAJI
 
.... ongezea:-
11. Asali (nyuki wakubwa na wadogo).
12. Mbao - MNINGA
13. Tundu Lissu - product ya Singida hii; libarikiwe tumbo lililomzaa.
14. Mifugo
15. Humble people - generally ni watu wasio na tabia za ajabu ajabu.
16. n.k.
Elezea kuhusu asali hapo..! Natamani kujua kwa undani..
 
Elezea kuhusu asali hapo..! Natamani kujua kwa undani..
... sina statistics kamili ila mchango wa Singida kwa asali inayoliwa nchini ni mkubwa sana (along with Tabora).
 
... sina statistics kamili ila mchango wa Singida kwa asali inayoliwa nchini ni mkubwa sana (along with Tabora).
Kule kuna asali nyingi sana hasa wilaya ya manyoni iliyopakana na Tabora asali ni ya kutosha.
Kuna kipindi baada ya kumaliza chuo nilikuwa nafundisha shule za vijijini(tempo) kuna wanafunzi walikuwa wananiletea asali kisado kizima bure wanarina wao wenyewe.
 
Wakuu,

Mjadala unawekwa mezani kuhusu fursa za kiuchumi kutokana na rasilimali asili zilizoko Singida

1. Safu za mlima Sekenke hadi Makutupora ina mkanda wa madini ya Dhahabu. Wajerumani walivuna sana madini hayo na jinsi ya usafirishaji wake ilikuwa wanatumia mitaro ya zege.

2. Zao la Vitunguu ni moja la mazao la aina ya viungo kwenye chakula

3. Zao la korosho kwa kulingana na mazingira ya ustawi wake ni fursa ya kiuchumi kwa kuwa matumizi yake ni mtambuka (mafuta, kitafunwa, kimiminika cha alikoholi)

4. Miti asili ya Mihama inayofanana na minazi ambayo inaishi sio chini ya miaka 300

5. Maziwa yenye uhusiano wa kiasili (Singida na Kindai) moja lina maji chumvi jingine lina maji mchanyiko baridi na magadi yanafaa sana kwa uwekezaji wa kitalii, mapumziko na utafiti;

6. Miamba ya mawe iliyobebana kwa nguvu za asili bila kuanguka yanafaa kwa uwekezaji wa utalii

7. Zao la Alizeti ambapo mazao hayo yanawakilisha upendo na kudumisha uzao wenye furaha-mazao yake yanatumika utengenezaji wa mafuta, makapi/mashudu yake yanatumika kwa ajili ya kulisha mifugo

8. Upatikanaji wa ndege asili wa Kware na Kanga kwa wingi

9. Nyuki, asali na nta

10. Mazao ya karanga, njugu mawe, kunde, na ubuyu (kwa juisi, mafuta na sabuni)

Rasilimali nilizoainisha hapo juu ambazo zinapatikana kwa wingi huko Singida ni fursa pekee kwa watu na serikali kiuchumi na maendeleo
...Tatizo nini, halifanyiwi Kazi hili??
 
Singida ni moja ya mikoa maskini sana hapa TZ, licha ya fursa za kiuchumi ulizozitaja.
Angalau kwa sasa mabadiliko yanaanza taratibu.
Tatizo wanyaturu ni wavivu sijapata ona alafu wanapenda kusema wageni wao kwa ubaya tena kwa kilugha aisee ule mkoa sio wa kuishi kabisa ata kidogo
 
Mkuu mazao mengi ulioyataja yanalimwa na mikoa mingine mbeya Njombe,iringa nk yote wanalima vitunguu,alizeti nk.
Kingine singida haina mvua za uhakika kama pwani, kusini na magharibi hivyo mtu atoke songea mbeya,Njombe,Tabora,Mwanza, Moshi, nk aende singida ni ngumu. Ila ni rahisi watu kwenda katavi, nyanda za juu kusini, Moro nk huko uhakika wa mvua na kuvuna.Pambaneni mmeletewa soko karibu ila kutushawishi kuja singida ni ngumu sana.
 
.... ongezea:-
11. Asali (nyuki wakubwa na wadogo).
12. Mbao - MNINGA
13. Tundu Lissu - product ya Singida hii; libarikiwe tumbo lililomzaa.
14. Mifugo
15. Humble people - generally ni watu wasio na tabia za ajabu ajabu.
16. n.k.

Kuna ulazima gani wa kutaja taja hilo jina la huyo mtu?
 
Back
Top Bottom