fundi25
JF-Expert Member
- Apr 16, 2013
- 10,378
- 11,537
Mkuu kuna watu tunapendagaIla wana miguu miembamba kama mirunda na meno kama kashata
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kuna watu tunapendagaIla wana miguu miembamba kama mirunda na meno kama kashata
Mbeya ni zaidi SingidaWakuu,
Mjadala unawekwa mezani kuhusu fursa za kiuchumi kutokana na rasilimali asili zilizoko Singida
1. Safu za mlima Sekenke hadi Makutupora ina mkanda wa madini ya Dhahabu. Wajerumani walivuna sana madini hayo na jinsi ya usafirishaji wake ilikuwa wanatumia mitaro ya zege.
2. Zao la Vitunguu ni moja la mazao la aina ya viungo kwenye chakula
3. Zao la korosho kwa kulingana na mazingira ya ustawi wake ni fursa ya kiuchumi kwa kuwa matumizi yake ni mtambuka (mafuta, kitafunwa, kimiminika cha alikoholi)
4. Miti asili ya Mihama inayofanana na minazi ambayo inaishi sio chini ya miaka 300
5. Maziwa yenye uhusiano wa kiasili (Singida na Kindai) moja lina maji chumvi jingine lina maji mchanyiko baridi na magadi yanafaa sana kwa uwekezaji wa kitalii, mapumziko na utafiti;
6. Miamba ya mawe iliyobebana kwa nguvu za asili bila kuanguka yanafaa kwa uwekezaji wa utalii
7. Zao la Alizeti ambapo mazao hayo yanawakilisha upendo na kudumisha uzao wenye furaha-mazao yake yanatumika utengenezaji wa mafuta, makapi/mashudu yake yanatumika kwa ajili ya kulisha mifugo
8. Upatikanaji wa ndege asili wa Kware na Kanga kwa wingi
9. Nyuki, asali na nta
10. Mazao ya karanga, njugu mawe, kunde, na ubuyu (kwa juisi, mafuta na sabuni)
Rasilimali nilizoainisha hapo juu ambazo zinapatikana kwa wingi huko Singida ni fursa pekee kwa watu na serikali kiuchumi na maendeleo
Mkuu wewe ni msabato?Ndio mkuu kama wanawake warembo wa taifa takatifu wa Mungu wa kweli aliye hai Mungu wa Israeli
Mihama na mahama ndiyo majina halisi mikoa mingi ya magharibi, kama kwenu inaitwa hivyo nalo ni sahihi, ng'ombe akiitwa ngombe huko Bukoba ni sahihi pia.Hapo namba 4 sio Mihama bali Mifama, matunda yake yanaitwa mafama, ndani yana rangi ya njano. Matamu kishenzi[emoji39]
Kwa hiyo kwenu Mkata ni zaidi ya Singida!S
Sungida hamna kitu labda kwa swala kuoa tu,
Mimi ni MyahudiMkuu wewe ni msabato?
Inaonekana hivyoMimi ni Myahudi
Sawa nitakuja kwa ajili ya UWEKEZAJIWakuu,
Mjadala unawekwa mezani kuhusu fursa za kiuchumi kutokana na rasilimali asili zilizoko Singida
1. Safu za mlima Sekenke hadi Makutupora ina mkanda wa madini ya Dhahabu. Wajerumani walivuna sana madini hayo na jinsi ya usafirishaji wake ilikuwa wanatumia mitaro ya zege.
2. Zao la Vitunguu ni moja la mazao la aina ya viungo kwenye chakula
3. Zao la korosho kwa kulingana na mazingira ya ustawi wake ni fursa ya kiuchumi kwa kuwa matumizi yake ni mtambuka (mafuta, kitafunwa, kimiminika cha alikoholi)
4. Miti asili ya Mihama inayofanana na minazi ambayo inaishi sio chini ya miaka 300
5. Maziwa yenye uhusiano wa kiasili (Singida na Kindai) moja lina maji chumvi jingine lina maji mchanyiko baridi na magadi yanafaa sana kwa uwekezaji wa kitalii, mapumziko na utafiti;
6. Miamba ya mawe iliyobebana kwa nguvu za asili bila kuanguka yanafaa kwa uwekezaji wa utalii
7. Zao la Alizeti ambapo mazao hayo yanawakilisha upendo na kudumisha uzao wenye furaha-mazao yake yanatumika utengenezaji wa mafuta, makapi/mashudu yake yanatumika kwa ajili ya kulisha mifugo
8. Upatikanaji wa ndege asili wa Kware na Kanga kwa wingi
9. Nyuki, asali na nta
10. Mazao ya karanga, njugu mawe, kunde, na ubuyu (kwa juisi, mafuta na sabuni)
Rasilimali nilizoainisha hapo juu ambazo zinapatikana kwa wingi huko Singida ni fursa pekee kwa watu na serikali kiuchumi na maendeleo
Elezea kuhusu asali hapo..! Natamani kujua kwa undani...... ongezea:-
11. Asali (nyuki wakubwa na wadogo).
12. Mbao - MNINGA
13. Tundu Lissu - product ya Singida hii; libarikiwe tumbo lililomzaa.
14. Mifugo
15. Humble people - generally ni watu wasio na tabia za ajabu ajabu.
16. n.k.
... sina statistics kamili ila mchango wa Singida kwa asali inayoliwa nchini ni mkubwa sana (along with Tabora).Elezea kuhusu asali hapo..! Natamani kujua kwa undani..
Natamani kujua nikawekeze singida.... sina statistics kamili ila mchango wa Singida kwa asali inayoliwa nchini ni mkubwa sana (along with Tabora).
Kule kuna asali nyingi sana hasa wilaya ya manyoni iliyopakana na Tabora asali ni ya kutosha.... sina statistics kamili ila mchango wa Singida kwa asali inayoliwa nchini ni mkubwa sana (along with Tabora).
...Tatizo nini, halifanyiwi Kazi hili??Wakuu,
Mjadala unawekwa mezani kuhusu fursa za kiuchumi kutokana na rasilimali asili zilizoko Singida
1. Safu za mlima Sekenke hadi Makutupora ina mkanda wa madini ya Dhahabu. Wajerumani walivuna sana madini hayo na jinsi ya usafirishaji wake ilikuwa wanatumia mitaro ya zege.
2. Zao la Vitunguu ni moja la mazao la aina ya viungo kwenye chakula
3. Zao la korosho kwa kulingana na mazingira ya ustawi wake ni fursa ya kiuchumi kwa kuwa matumizi yake ni mtambuka (mafuta, kitafunwa, kimiminika cha alikoholi)
4. Miti asili ya Mihama inayofanana na minazi ambayo inaishi sio chini ya miaka 300
5. Maziwa yenye uhusiano wa kiasili (Singida na Kindai) moja lina maji chumvi jingine lina maji mchanyiko baridi na magadi yanafaa sana kwa uwekezaji wa kitalii, mapumziko na utafiti;
6. Miamba ya mawe iliyobebana kwa nguvu za asili bila kuanguka yanafaa kwa uwekezaji wa utalii
7. Zao la Alizeti ambapo mazao hayo yanawakilisha upendo na kudumisha uzao wenye furaha-mazao yake yanatumika utengenezaji wa mafuta, makapi/mashudu yake yanatumika kwa ajili ya kulisha mifugo
8. Upatikanaji wa ndege asili wa Kware na Kanga kwa wingi
9. Nyuki, asali na nta
10. Mazao ya karanga, njugu mawe, kunde, na ubuyu (kwa juisi, mafuta na sabuni)
Rasilimali nilizoainisha hapo juu ambazo zinapatikana kwa wingi huko Singida ni fursa pekee kwa watu na serikali kiuchumi na maendeleo
Tatizo wanyaturu ni wavivu sijapata ona alafu wanapenda kusema wageni wao kwa ubaya tena kwa kilugha aisee ule mkoa sio wa kuishi kabisa ata kidogoSingida ni moja ya mikoa maskini sana hapa TZ, licha ya fursa za kiuchumi ulizozitaja.
Angalau kwa sasa mabadiliko yanaanza taratibu.
Mifama siyo kwa lugha ya Kinyaturu kweli? Mi najua inaitwa 'Mipama'Hapo namba 4 sio Mihama bali Mifama, matunda yake yanaitwa mafama, ndani yana rangi ya njano. Matamu kishenzi[emoji39]
.... ongezea:-
11. Asali (nyuki wakubwa na wadogo).
12. Mbao - MNINGA
13. Tundu Lissu - product ya Singida hii; libarikiwe tumbo lililomzaa.
14. Mifugo
15. Humble people - generally ni watu wasio na tabia za ajabu ajabu.
16. n.k.