Mali ya billion 3 ukatie bima laki 2,kikwete alisema zakuambiwa changanya na zako

Mali ya Billion 3 uwekewe bima ya laki mbili [emoji23] [emoji23]


Kuna watu wanafaa kupelekwa milembe
alisema ni garama za bima sio garama za transaction (transaction cost,)) mwenye uelewa atuambie
 
Bima nyingi huwa gharama yake si kubwa,asipigwa na wazee wa mitandao.Ngoja tusubiri mda.
 
Huyu Dr. Amekutana na matapeli wa kinaijeria ameshapigwa na ataendelea pigwa hizo $ 100 mpaka akiri zimrudie.Amekutana na Advance fee fraud
 
Kiasi cha bima kinazingatia risk iliyopo katika transfer ya pesa husika kufika kwa mlengwa... Kwa mifumo ya kibenk, risk ya kupoteza pesa wakati wa kutransfer ni ndogo sana....hivyo bei ya bima nayo inakuwa nafuu.. Gharama ya bima ingekuwa kubwa kama wanasafirisha izo pesa in a physical manner....
 
Hawasafirisha pesa ni cheki...!!!
 
So hyo pesa ya bima kawatumia bank? Through moneygram? Au ni kwa insurance broker?
 
Huyu Dr. Amekutana na matapeli wa kinaijeria ameshapigwa na ataendelea pigwa hizo $ 100 mpaka akiri zimrudie.Amekutana na Advance fee fraud
Wewe ni mjinga sana, Dr ndio anaweza kuwapiga wanaigeria sio yeye kupigwa.

Jamaa ni Jasusi wa nguvu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…