CAMARADERIE
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 4,419
- 1,923
Hivi tuseme umepata mpenzi wako.Ukagundua kuwa anamiliki mali kama nyumba na magari na wewe huna kitu. Mkakubaliana kuoana. Ukahamia kwake wewe na Rambo yako. Hali huwaje baadae? Tunaweza rejea wimbo wa Simba wa Nyika ''utakuja nitafuta....mashariki na magharibi''.Hiki ni kisa cha kweli cha mwanamuziki marehemu George Peter Kinyonga aliyetupiwa virago nje na mkewe baada ya kutofautiana.