Mali za Mrema wa Naura Springs na Impala kupigwa bei kulipa madeni ya wafanyakazi na Mifuko ya Hifadhi ya Jamii

You are suffering from cronic Inferiority Complex with malnutrition background.
 
So sad,
Mwanaume alipambana akajenga empire ya utajiri mkubwa,amekufa,Mali zinasambaratika?!aliowaacha hata kuja na business plan Ili kuziendeleza wameshindwa,kuzikodisha wameshindwa,kutafuta hata ceo aziendeshe kwa mpito wameshindwa,
Wao walijari kula bata wakati Mwenye mali yupo.
Kuna umuhimu wa serikali kutoa Elimu,mtu anapokuwa na mali nyingi na biashara aziweke kwenye mfumo wa kampuni inayojiendesha hata kama hayupo,kuwe na bodi ya wakurugenzi nk.
Kwa wenzetu,Kuna makampuni yana miaka 150,170,200!mpaka leo yapo,Ford,MTU,Detroit,
Sasa hapa ajira ndio kwaeli!Kodi hakuna tena
 
Wafanyakazi wa hizo hoteli ndio wenye madai. Sijui umeelewa?
Nyumba za kulipa hilo deni zipo kibao,kama kuuza angesema iuze hotel moja walipe deni...hiyo kesi familia imejaza mawakili kma wote ngoja tuone mwisho
 
Sasa Mkuu Jaji ataota kuwa kuna Mali sehemu flani au itategemea na presentation mahakamani
Kuna wakili mshkaji kaniambia familia imeweka mawakili wapambane na hiyo kesi....hapo mwisho watamalizana kwa kuwalipa kuna mali zitauzwa
 
Hakuna kitu kama hicho! Hayo mengine ni MANYOKA MANYOKA tu! Wengine wanaita BOSHENI πŸ˜‚πŸ˜‚
 
kuna binadamu wa hovyo sana yani unakaa chini unaandika utopolo kiasi hichi?
 
Umejipinda kuandika upumbavu mmoja wa hali ya juu mno,yaani ni takataka,a k a Rubbish,a k a Trash,hujui lolote mburukenge
 
Mali za kulipa hiyo 1.2bn zipo za kumwaga,sijui huyo jaji kwanini aseme hotel zipigwe mnada au hajui thamani ya hizo hotel
Mkuu,hoteli haziuzwi hata moja,vinavyouzwa ni viwanja vilivyoko maeneo ya uzunguni,plot namba 16 na vingine kadhaa,Soma-https://www.jamiiforums.com/threads/mahakama-yapukutisha-mali-za-bilionea-mrema-yaamuru-kupigwa-mnada.1792360/
 
We jamaa nimeshindwa hata kukujibu

Yani umetuona sisi sote humu ma bogus?
 
Hii inanishangaza Sana, Kiwanja Cha impala tu hapo kilipo ni mil 500... Ukitoa jengo lenyewe lenye thamani ya zaidi ya B 5 na vitu vyake vilivyomo ndani. Kuna ufisadi mkubwa hapo unafanyika
 
Hii inanishangaza Sana, Kiwanja Cha impala tu hapo kilipo ni mil 500... Ukitoa jengo lenyewe lenye thamani ya zaidi ya B 5 na vitu vyake vilivyomo ndani. Kuna ufisadi mkubwa hapo unafanyika
Ndio! Ni kweli inashangaza! Lakini hiyo michezo ndio huwa inafanyika hivyo!

Kama ni kweli kuna wafanyakazi wanadai mishahara yao, hizo kelele nyingine zinatoka wapi?

Kuna haja gani ya kufikishana MAHAKAMANI ilhali kampuni inaweza kuwalipa wafanyakazi na kujiendesha yenyewe?

Mambo mengine ni BOSHENI tu lakini kinachoendelea ni wamiliki halali wanabeba vilivyo vyao.
 
We jamaa nimeshindwa hata kukujibu

Yani umetuona sisi sote humu ma bogus?
Ndio! Halafu hawa wenyeji wa hii mikoa ya ARUSHA na KILIMANJARO huwa ni watu wa DRAMA, yaani huwa wanaishi yale maisha ya kuigiza.

Hawa watu wakiwa hawana kitu, huwa wananyenyekea mpaka wanatia hudhuni. Yaani huwa wanaomba kusimamia biashara yoyote ilmradi na wao wapate PESA ya matumizi.

Shida inakuja kwa familia zao! Yaani ukiwapa biashara ya kusimamia, wao wanafanya kama biashara ya familia zao. Mfano mzuri ni kampuni ya KILIMANJARO TRUCK LTD yenye mabasi ya KILIMANJARO EXPRESS.

Na matatizo yanapokuja kutokea kama MISIBA, unaweza kufikishana hadi MAHAKAMANI. Wao wanafoji hadi DOCUMENTS ili kuonesha kuwa ilikuwa ni mali familia na imeachwa na MAREHEMU.

Kwahiyo inabidi kujipanga kweli kweli! Sasa hivi mambo na nyakati zimebadilika! UTAPELI umekuwa mwingi mno na watu wanafikishana MAHAKAMANI kwa mambo ya kujitakia wenyewe.

Ni bora na nafuu kusimamia biashara zako mwenyewe kuliko kuwapa watu wengine kusimamia maana inaweza kutokea kama ya HOTELI ZA IMPALA NA NAURA SPRINGS au KAMPUNI ZA MeTL NA LAKE GROUP au KAMPUNI ZA MOIL NA FRESHO yenyewe.

Hatua nzuri na sahihi ni kuwafukuza kabla mambo hayajaharibika. Na kampuni zote za MWASHITA yaani SIMBA 🦁 watafukuza wale wote waliotokea FORBES kwa kampuni zisizo zao na utaratibu utabadilishwa maana hauwezi kuajiriwa halafu na wewe ukaweka WATOTO wako na baadae hao WATOTO wako wanaenda kwenye VYOMBO VYA HABARI kama vituo vya radio na televisheni wanasema ni KAMPUNI YA FAMILIA.

Hizi ni dalili za UTAPELI na ni dalili mbaya kwa siku za usoni. Dawa yake ni kuwafukuza wote na kuweka utaratibu mzuri kwenye kuendesha KAMPUNI ZA BINAFSI na KAMPUNI ZA SERIKALI.
 
Kwa maandishi yako inaonyesha ulikua umeajiriwa na mchaga akakufukuza kazi kwa kuwa snitch wa kupeleka taarifa za ofisi yake TRA, nssf, TAKUKURU n.k. ili kumharibia
 
Kwa maandishi yako inaonyesha ulikua umeajiriwa na mchaga akakufukuza kazi kwa kuwa snitch wa kupeleka taarifa za ofisi yake TRA, nssf, TAKUKURU n.k. ili kumharibia
Sisi ndio huwa tunawapa michongo hawa watu! PESA watoe wapi kwenye MIGOMBA huko!

Kwanza huko utatoa wapi PESA ya kununua SCANIA MARCO POLO G7 kama za KILIMANJARO EXPRESS. Kwenye biashara ya UTALII au MADINI ya TANZANITE 😁

Mambo mengine huwa ni STORI ZA VIJIWENI lakini hali halisi ndio huwa hiyo.




Ngoja niende MAZOEZI! Jana usiku nimepokea JEZI YA TIMU YA TAIFA YA DEUTSCHLAND πŸ‡©πŸ‡ͺ kutoka kwa marafiki wa UJERUMANI πŸ‡©πŸ‡ͺ.

Kwahiyo ngoja niivae kwa heshima yao. Tutaonana usiku, mida ya saa mbili au kesho asubuhi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…