tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Plot uzunguni najua wanazo nyingi na nyumbaMkuu,hoteli haziuzwi hata moja,vinavyouzwa ni viwanja vilivyoko maeneo ya uzunguni,plot namba 16 na vingine kadhaa,Soma-https://www.jamiiforums.com/threads/mahakama-yapukutisha-mali-za-bilionea-mrema-yaamuru-kupigwa-mnada.1792360/
Ndio naona waliuza kulipia madeni ya mabenkiMoshi hotel ya Mrema yule laswai aliinunua na mtoto wa Mrema ameoa kwa Laswai.
Kampuni imeshashindwa kuwalipa hao wafanyakazi,hence wameipeleka mahakamani,na mahakama ikaamua kuwa baadhi ya mali za kampuni ziuzwe ili kulipa madeni yaliyoighubika kampuni,wewe umejuaje kuwa kampuni ina uwezo wa kuwalipa wafanyakazi wanaoidai? Kama ingekuwa hivyo si wangewalipa sasa? Sijui hata unaandika uduwanzi gani mangi,umekomalia tu bosheni bosheni!! Hao wamiliki halisi unaowajua wewe ni wapi? Wamesajiliwa wapi? Na wewe ulijuaje hayo? Hogwash.Ndio! Ni kweli inashangaza! Lakini hiyo michezo ndio huwa inafanyika hivyo!
Kama ni kweli kuna wafanyakazi wanadai mishahara yao, hizo kelele nyingine zinatoka wapi?
Kuna haja gani ya kufikishana MAHAKAMANI ilhali kampuni inaweza kuwalipa wafanyakazi na kujiendesha yenyewe?
Mambo mengine ni BOSHENI tu lakini kinachoendelea ni wamiliki halali wanabeba vilivyo vyao.
Uzuri jamaa assets alikua nazo nyingi tena sana tu.Ndio naona waliuza kulipia madeni ya mabenki
Hizo hoteli haziwezi kushindwa kuwalipa wafanyakazi wake. Yaani hiyo kitu futa kabisa. Sema kuna mambo mengine ambayo sio vizuri kusema hadharani.Kampuni imeshashindwa kuwalipa hao wafanyakazi,hence wameipeleka mahakamani,na mahakama ikaamua kuwa baadhi ya mali za kampuni ziuzwe ili kulipa madeni yaliyoighubika kampuni,wewe umejuaje kuwa kampuni ina uwezo wa kuwalipa wafanyakazi wanaoidai?
Hayo ndio MANYOKA MANYOKA tunayosema humu.Kama ingekuwa hivyo si wangewalipa sasa?
Ila wewe unaonekana unafahamu kila kitu ila unanichora.Sijui hata unaandika uduwanzi gani mangi,umekomalia tu bosheni bosheni!!
Mimi nafahamu vizuri sana! Na pia kuna HOTELI hapo ARUSHA NA KILIMANJARO ukiachilia mbali hoteli za NEW CASTLE na KINDOROKO na hizo baa nyingine ndogo ndogo kama MATAKO BAR na ARUSHA DELUXE.Hao wamiliki halisi unaowajua wewe ni wapi? Wamesajiliwa wapi? Na wewe ulijuaje hayo?
Wank Wanker!Hogwash.
Hahaha we mwamba mmbishiSisi ndio huwa tunawapa michongo hawa watu! PESA watoe wapi kwenye MIGOMBA huko!
Kwanza huko utatoa wapi PESA ya kununua SCANIA MARCO POLO G7 kama za KILIMANJARO EXPRESS. Kwenye biashara ya UTALII au MADINI ya TANZANITE π
Mambo mengine huwa ni STORI ZA VIJIWENI lakini hali halisi ndio huwa hiyo.
Ngoja niende MAZOEZI! Jana usiku nimepokea JEZI YA TIMU YA TAIFA YA DEUTSCHLAND π©πͺ kutoka kwa marafiki wa UJERUMANI π©πͺ.
Kwahiyo ngoja niivae kwa heshima yao. Tutaonana usiku, mida ya saa mbili au kesho asubuhi.
Kwa maandishi yako inaonyesha ulikua umeajiriwa na mchaga akakufukuza kazi kwa kuwa snitch wa kupeleka taarifa za ofisi yake TRA, nssf, TAKUKURU n.k. ili kumharibia
Hawa watu najaribu kuwanyoosha na kuwaweka kwenye njia iliyo sahihi lakini wanakuwa ni wagumu kuelewa.Hahaha we mwamba mmbishi
Ok ngj niendele kufatilia uzi huu
Mzee wa LX CRUSER
ova
Hapo hakuna lolote yani ukauze hotel zenye zaidi ya thamani ya 15bn kwa deni la 1.2m...huyo jaji atakua kala ugoro.hiyo familia wanamali nyingi hapo uzunguni yani hilo deni linalipwa na kuuza nyumba moja tu na chenji inabaki
Nasubiri watanganze mnada watu wanunue HOTELI ZA IMPALA NA NAURA SPRINGS at the same time πππYale matakata hayafiki 5bn
Nasubiri watanganze mnada tununue HOTELI ZA IMPALA NA NAURA SPRINGS at the same time πππ
Ndio! Halafu kitu kingine ambacho nimeona watu wengi hawakielewi ni uwepo wa SERIKALI!Jamaa hana zaidi ya 5bn Labda goodwill
Punguza stress man.maana naona unaandika mambo ya vijiwe vya kahawa.Wivu tu unakusumbua unakuja kupuyanga humu mtandaoni.Unajifanya unajua au matawi kumbe hakuna chochote.wenye fedha hawaandikagi ujinga hivyo.Nasubiri watanganze mnada tununue HOTELI ZA IMPALA NA NAURA SPRINGS at the same time [emoji23][emoji23][emoji23]
STRESS au MSONGO WA MAWAZO mnazo nyinyi hapo! Ukisikia maisha ni gwaride ndio haya sasa!Punguza stress man.maana naona unaandika mambo ya vijiwe vya kahawa.Wivu tu unakusumbua unakuja kupuyanga humu mtandaoni.Unajifanya unajua au matawi kumbe hakuna chochote.wenye fedha hawaandikagi ujinga hivyo.
Hapo mdaiwa ni mmiliki wa assets zilizokuwa zinahudumiwa na hao wadai na siyo nyumba za ndugu.Hapo hakuna lolote yani ukauze hotel zenye zaidi ya thamani ya 15bn kwa deni la 1.2m...huyo jaji atakua kala ugoro.hiyo familia wanamali nyingi hapo uzunguni yani hilo deni linalipwa na kuuza nyumba moja tu na chenji inabaki
Ukiona MANYOKA MANYOKA kama haya ujue hamna kitu hapo ππHapo mdaiwa ni mmiliki wa assets zilizokuwa zinahudumiwa na hao wadai na siyo nyumba za ndugu.
Kama wanajua wana mali nje ya hizo zinazodaiwa kwa nini wasiongee na mahakama kuwa wanalipa hilo deni mpaka mahakama itoe notisi?.
ππΎHebu angalia hapa; uliona wapi ndugu wa kiafrika akatoa mali yake ili kuokoa mali ya ndg yake?.
Hivi PUB ALBETO ni nani anamiliki? Nauliza tu maana kuuliza sio ujinga!Punguza stress man.maana naona unaandika mambo ya vijiwe vya kahawa.Wivu tu unakusumbua unakuja kupuyanga humu mtandaoni.Unajifanya unajua au matawi kumbe hakuna chochote.wenye fedha hawaandikagi ujinga hivyo.
Hivi AQUILINE HOTEL ni nani anamiliki? Nauliza tu maana kuuliza sio ujinga!Punguza stress man.maana naona unaandika mambo ya vijiwe vya kahawa.Wivu tu unakusumbua unakuja kupuyanga humu mtandaoni.Unajifanya unajua au matawi kumbe hakuna chochote.wenye fedha hawaandikagi ujinga hivyo.
Duh, yaani hata sijaelewa kabisaUnajua kwa wakazi wa ARUSHA na KILIMANJARO, wao ndio wanaamini kuwa wameshika UCHUMI WA TANZANIA [emoji1241] na wao ndio wanaamini kuwa wameshika UCHUMI WA MIKOA YA ARUSHA NA KILIMANJARO.
Kumbe sio! Hali halisi haiko hivyo! UCHUMI WA TANZANIA [emoji1241] umeshikwa na SERENGETI yaani CHUI halafu wanaofuatia ni MWASHITA yaani SIMBA [emoji881], jamii nyingine hazipo kwenye ramani.
Hata UCHUMI WA MIKOA YA ARUSHA NA KILIMANJARO umeshikwa na SERIKALI YA TANZANIA [emoji1241] yenyewe kupitia SEKTA YA UTALII NA MADINI, jamii nyingine ni SERENGETI yaani CHUI na MWASHITA yaani SIMBA [emoji881].
Halafu kitu kingine, pale ARUSHA kuna CHUO CHA KIJESHI yaani MILITARY ACADEMY na pale KILIMANJARO kuna CHUO CHA POLISI yaani POLICE ACADEMY, kwahiyo hii mikoa miwili kuna uwangalizi mkubwa sana kutokana na uwepo wa hivyo vyuo vya kipolisi na kijeshi.
Na SERIKALI YA TANZANIA [emoji1241] imewekeza sana kwa sababu ya kiusalama na kiulinzi. Hauwezi kuamini kuwa pale CHUO CHA POLISI - MOSHI [ CCP ] kuna askari wana vyeo vikubwa sana kuliko hata RPC wa KILIMANJARO. Sasa kwanini mkoa wa KILIMANJARO usiwe na ulinzi wa kutosha? Na ulinzi wa kutosha ni pamoja na uwekezaji na uwekezaji unafanyika kupitia raia wa kawaida. Hauwezi ukaona POLISI ndio uamini kuwa maeneo hayo yapo chini ya ULINZI WA KIPOLISI. Huwa wanawekeza kupitia raia wa kawaida - ndio maana hawa wenyeji wa MKOA WA KILIMANJARO wanaonekana wana fedha sana lakini mwisho wa siku hawana kitu.
Hali hii iko hivyo hivyo kwa upande wa ARUSHA, pale CHUO CHA KIJESHI kuna askari wana vyeo vikubwa kuliko hata MKUU WA KANDA. Sasa kwanini mkoa wa ARUSHA usiwe na ulinzi wa kutosha? Na ulinzi wa kutosha ni pamoja na uwekezaji na uwekezaji unafanyika kupitia raia wa kawaida. Hauwezi ukaona JESHI ndio uamini kuwa maeneo hayo yapo chini ya ULINZI WA KIJESHI. Huwa wanawekeza kupitia raia wa kawaida na ndio maana hawa wenyeji wa hii mikoa ya ARUSHA na KILIMANJARO huwa wanaonekana wana fedha sana lakini mwisho wa siku hawana kitu.
SERIKALI YA TANZANIA [emoji1241] kupitia raia wa kawaida [ wengi wao huwa ni askari kanzu ] wanamiliki UCHUMI MKUBWA sana kwa mikoa ya ARUSHA na KILIMANJARO na sasa hivi wameenda mpaka MANYARA. Na hii yote ni kwa sababu ya kiusalama na kiulinzi.
Na nikupe siri nyingine - kwa mikoa ya ARUSHA na KILIMANJARO ukilimiki hata BAA achilia mbali HOTELI ZA KITALII watakukagua mpaka BABU NA BIBI zako. Hii yote ni kwa sababu ya kiulinzi na kiusalama kwa CHUO CHA KIJESHI na CHUO CHA KIPOLISI.
Hali hii iko hivyo hivyo kwa upande wa TANZANIA [emoji1241] nzima. Hauwezi kusema UCHUMI WA TANZANIA [emoji1241] umeshikiliwa na wageni! Kwanza hao wageni wametoka wapi? Mpaka waje kushikilia UCHUMI WA TANZANIA [emoji1241]? Hakuna kitu kama hicho! Kwanza hakuna SERIKALI yoyote inayoruhusu UCHUMI wake ushikiliwe na wageni.
Hao wote mnaowaona ni wafanyakazi wa kawaida lakini wamiliki halali huwa ni WATANZANIA WEUSI pamoja SERIKALI YA TANZANIA [emoji1241].
Nini kirefu cha MWASHITA ni nini ?Wewe ni mgeni TANZANIA [emoji1241]? Au una matatizo kichwani? Fanya ukamuone daktari maana bado hujachelewa.
Mimi ndio MANDELA CHARLES, [ [emoji23][emoji23][emoji23] ]. Na hao wachagga nimewaajiri humo kwenye KILIMANJARO EXPRESS na mpaka muda huu SAA NANE ZA USIKU wapo kazini.
Halafu pia, mimi ni METALLURGICAL & MINERAL PROCESSING ENGINEER - hivi kuna mchagga wa kuniajiri mimi? Maana hata VIWANDA hamna! Migodi na yenyewe hamna! Makampuni ya mafuta na yenyewe vile vile hamna! Yaani nyinyi ni MAJUNGU tu, ndio mnaweza.
Na kitu kingine ambacho mnaweza ni kufanya LOBBYING serikalini na kwenye kampuni binafsi ambazo hazijielewi. Lakini sio kwenye kampuni za MWASHITA yaani SIMBA [emoji881].
Pakikucha kesho, nenda TCRA kaulize LESENI YA TIGO TANZANIA [emoji1241] inasoma jina gani halafu uje utueleze vizuri humu - JAMIIFORUMS.
Maana kwa siku ya kesho itakuwa ni siku ya mwisho mpaka JUMAMOSI ndio utaniona humu. Nitakuwa makini na mchakato wa kumpata MKURUGENZI MPYA wa TIGO TANZANIA [emoji1241].