Mali za umma zinapouzwa, watumishi wa Serikali wasiruhusiwe kununua sababu si walipa kodi

Mali za umma zinapouzwa, watumishi wa Serikali wasiruhusiwe kununua sababu si walipa kodi

Kw
Nafikiri inarudi kwenye kodi ilikotoka. Ipo hivi. Mfano serikali imekusanya kodi Milioni mia tano. Ikatumia milioni mia moja kulipa mishahara watumishi wake. Milioni tisa wakakatwa kama PAYE. Je unafikiri jumla ya kodi ya serikali inakuwa imeongezeka kuwa milioni mia tano na tisa? Hapana.
Badala yake kodi Tsh milioni 91 imetumika kulipa mishahara na serikali imebakiwa na milioni 409. Kwahiyo, watumishi wa umma ni wala kodi, si walipa kodi.
Ani
Nafikiri inarudi kwenye kodi ilikotoka. Ipo hivi. Mfano serikali imekusanya kodi Milioni mia tano. Ikatumia milioni mia moja kulipa mishahara watumishi wake. Milioni tisa wakakatwa kama PAYE. Je unafikiri jumla ya kodi ya serikali inakuwa imeongezeka kuwa milioni mia tano na tisa? Hapana.
Badala yake kodi Tsh milioni 91 imetumika kulipa mishahara na serikali imebakiwa na milioni 409. Kwahiyo, watumishi wa umma ni wala kodi, si walipa kodi.
Labda ungeelewa ingekuwa pesa yote wamelipwa halafu wenyewe wangeipeleka tra ndo ungeona wamelipa Kodi kwa uelewa wako.

Pili km imetokea Kodi ikakusanywa akapewa kandarasi wa barabara then huyu kandarasi kutokana na mapato ya ule mradi akalipa Kodi. Je hii siyo Kodi?je imetokana na nn?maana pesa za kandarasi zimetokana na Kodi .
Mfano wa tatu ni kuhusu huduma mtumishi yeyote huwa nae ana nunua mahitaji km chakula mavazi na ardhi/majengo..kwa kanuni Kodi anaelipa ni mtumiaji wa mwisho je watumishi hawanunui bia wakachangia vat na tozo zingine?
Labda utafute hoja ya maslah binafsi Ila si suala la Kodi ,Kila mtu analipa Kodi kwa shughuli yake ,mfanyabiasha anapougua akaenda kitibiwa analipa pesa Ile pesa ndio thamani ya mtumishi aliemtibia hivyo pale mtumishi katumia ujuzi kutibu ndo akalipwa .
 
Kw

Ani

Labda ungeelewa ingekuwa pesa yote wamelipwa halafu wenyewe wangeipeleka tra ndo ungeona wamelipa Kodi kwa uelewa wako.

Pili km imetokea Kodi ikakusanywa akapewa kandarasi wa barabara then huyu kandarasi kutokana na mapato ya ule mradi akalipa Kodi. Je hii siyo Kodi?je imetokana na nn?maana pesa za kandarasi zimetokana na Kodi .
Mfano wa tatu ni kuhusu huduma mtumishi yeyote huwa nae ana nunua mahitaji km chakula mavazi na ardhi/majengo..kwa kanuni Kodi anaelipa ni mtumiaji wa mwisho je watumishi hawanunui bia wakachangia vat na tozo zingine?
Labda utafute hoja ya maslah binafsi Ila si suala la Kodi ,Kila mtu analipa Kodi kwa shughuli yake ,mfanyabiasha anapougua akaenda kitibiwa analipa pesa Ile pesa ndio thamani ya mtumishi aliemtibia hivyo pale mtumishi katumia ujuzi kutibu ndo akalipwa .
Mkandarasi wa serikali ni kama mtumishi tu. Hawalipi kodi. Bila kutumia pesa ya kodi hawaingizi hata mia. Na hiyo wanayokatwa haiongezi hata mia kwenye kodi inayokusanywa na nchi.
 
Mkandarasi wa serikali ni kama mtumishi tu. Hawalipi kodi. Bila kutumia pesa ya kodi hawaingizi hata mia. Na hiyo wanayokatwa haiongezi hata mia kwenye kodi inayokusanywa na nchi.
Tuanzie Kodi ni nini na inatokana na nini?
Changamoto kubwa tunashindwa kuquantify service into monetary value.

Huduma ni fedha hivyo asingekua ameajiriwa mtumishi wa umma kufanya iyo kazi angekuwa amepewa. Mzabuni. Kufanya iyo kazi. Naye angelipwa. Baada ya malipo Hali naye angetoa kadi.

Mfano mfanyakazi wa kivuko...anafanya kazi inayozalisha pesa hivyo sehem ya kipato chake. Analipa Kodi.
Ila km huamini hutaamini kwa kua Kodi ni sehemu ya mapoto yako..kitendo Cha serikali kuchukua Kodi kabla ya kumkabidhi mtumishi pesa hakimaanishi kuwa mtumishi halipi kodi
 
Nchi hii, hakuna asie lipa Kodi. Mchunga ng'ombe anae lipwa 50,000 Tsh kwa mwazi ,bila kukatwa paye akinunua vocha inakatwa Kodi.

Akinunua bati ,analipa na VAT.

hivyo hivyo watumishi wa umma , wanakatwa Kodi kwenye mshahara wao, na Bado wakiingia mtaani kwenye matumizi Kuna Kodi +Tozo.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haujui kwamba watumishi wa umma ndiyo wanaoongoza kwa kulipa kodi nchi hii, tena kiulazima kodi inakatwa juu juu bila kona kona.

Bora wafanyabiashara wanaweza wakakwepakwepa, hawa watumishi hawana hiyo option.
Kwamba mtumishi WA Umma analipa Kodi kumzidi Mo dewij au Bakhrresa?

Kuna mfanyakazi yoyote hapa tanzania analipa Kodi kuzidi Duka lolote la Spare za Magari kariakoo ???


Unajua Duka la spare kariakoo Lina total sales za kiasi gani Kwa mwezi ?


Yani mishahara ya watumishi ya 500,000 ndio wawe wanalipa Kodi kushinda wafanyabiashara wenye total sales za 300,000,000 unachekesha Sana [emoji1787]
 
Usiende mbali. Assume nchi ndiyo inaanza from scratch. Haina hata mia. Lakini ina watumishi wa umma, wafanyabiashara, wakulima na wataalamu wengine. Ni watu gani watafanya kuwe na chochote kwenye hazina ya nchi kupitia kodi? Katika wote hao, ni nani ambaye hatachangia kodi? Utaona kuwa ni mpaka wafanyabiashara, wakulima, na watu wengine watozwe kodi ndipo mtumishi wa umma anapata mshahara. Sasa atachukuaje sehemu ya kodi na kusema analipa kodi?
Acha kufanya assumptions kwa vitu ambavyo havina maana,ni viizuri kabla ya kuandika Uzi wowote humu pata ABC ya hill jambo.
Unaonekana huna hata basic knowledge ya mambo ya uchumi,halafu mbaya zaidi unajifanya mjuaji.MTU kama wewe ambaye unaelemishwa huelewi huna tofauti na tahira.
 
Habari wakuu,

Wakati wa Mkapa ulitokea uuzaji wa nyumba za serikali, na kigezo cha kuweza kununua nyumba hizo ilikuwa uwe mtumishi wa serikali. Jamii iliona ni sawa na haki, lakini kumbe jambo sawa na la haki ilikuwa kwa watumishi hao kutoruhusiwa kabisa kununua nyumba zile.

Wanazuoni wanasema kuwa mali za Serikali zinapatikana kwa kupitia kodi, kwa hiyo hata wakati zinapouzwa ni haki wale walipa kodi ndiyo wakapewa nafasi ya kununua. Watumishi wa serikali, kuanzia Rais, mawaziri, wabunge na watumishi wengine wote wanaolipwa na serikali si walipa kodi bali ni watu wanaotumia kodi.

Si haki kumuuzia mtu ambaye hakuhusika kuchangia kupatikana mali hiyo huku ukimuondoa kabisa yule aliyehusika kuinunua. Kwa mantiki hiyo, mali yoyote ya Serikali inapouzwa, iwe nyumba, magari, viwanja, mashamba n.k, watumishi wa serikali hawapaswi kuruhusiwa kununua.

Nawasilisha.
Hujui kama hujui
 
Habari wakuu,

Wakati wa Mkapa ulitokea uuzaji wa nyumba za serikali, na kigezo cha kuweza kununua nyumba hizo ilikuwa uwe mtumishi wa serikali. Jamii iliona ni sawa na haki, lakini kumbe jambo sawa na la haki ilikuwa kwa watumishi hao kutoruhusiwa kabisa kununua nyumba zile.

Wanazuoni wanasema kuwa mali za Serikali zinapatikana kwa kupitia kodi, kwa hiyo hata wakati zinapouzwa ni haki wale walipa kodi ndiyo wakapewa nafasi ya kununua. Watumishi wa serikali, kuanzia Rais, mawaziri, wabunge na watumishi wengine wote wanaolipwa na serikali si walipa kodi bali ni watu wanaotumia kodi.

Si haki kumuuzia mtu ambaye hakuhusika kuchangia kupatikana mali hiyo huku ukimuondoa kabisa yule aliyehusika kuinunua. Kwa mantiki hiyo, mali yoyote ya Serikali inapouzwa, iwe nyumba, magari, viwanja, mashamba n.k, watumishi wa serikali hawapaswi kuruhusiwa kununua.

Nawasilisha.
Watumishi wa Serikali wanalipa kodi ambayo hukatwa moja kwa moja kutoka kwenye mishahara yao
 
Acha kufanya assumptions kwa vitu ambavyo havina maana,ni viizuri kabla ya kuandika Uzi wowote humu pata ABC ya hill jambo.
Unaonekana huna hata basic knowledge ya mambo ya uchumi,halafu mbaya zaidi unajifanya mjuaji.MTU kama wewe ambaye unaelemishwa huelewi huna tofauti na tahira.
Mi ndiyo nakuelimisha lakini huelewi. Umekariri toka unakua ukisikia watumishi wa umma na viongozi wanasema wanalipa kodi. Kama roboti, hilo limekukaa kichwani.
 
Watumishi wa Serikali wanalipa kodi ambayo hukatwa moja kwa moja kutoka kwenye mishahara yao
Ile siyo kodi. Haiongezi hata mia kwenye kodi inayokusanywa na nchi. Badala yake, watumishi wa umma wanatumia kodi kama ambavyo kodi hutumika kujenga barabara.
 
Ile siyo kodi. Haiongezi hata mia kwenye kodi inayokusanywa na nchi. Badala yake, watumishi wa umma wanatumia kodi kama ambavyo kodi hutumika kujenga barabara.
Sidhani kama kichwani upo vyema! nenda kasome sheria za kodi na aina za kodi zinazokusanywa na walipaji ni akina nani.
 
Sidhani kama kichwani upo vyema! nenda kasome sheria za kodi na aina za kodi zinazokusanywa na walipaji ni akina nani.
Kusema ni kodi haifanyi iwe kodi. Unafikiri viongozi wanataka kujulikana kuwa hawalipi kodi?
 
Back
Top Bottom