Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wa-TZ tunafanya kazi kwa kusukumwa na matukio. Matokeo yake ni 'failure'. Mkuu wa mkoa alitoa amri lile Orofa bovu libomolewe baada ya Orofa pacha kuangukia watu, lakini Orofa hilo bado limesimama. Serikali ya Nchi hii! Anyway kama mnafanya kazi kwa kusukumwa kwa matukio basi mtasukumwa sana na matukio yajayo mpaka mtachoka ku-respond! Pangeni mambo bana!Mbona habari za kukamata wauza sembe nchini zimeanza kuenea ghafla tu baada ya matukio mengi ya wasafirishaji kukamatwa nchi za nje? Je sasa ndio serikali inakurupuka na kuona umuhimu wa kututangazia majina hayo?
nimejitahidi kujumlisha madawa haya yaliyokamatwa na kugundua ni kiasi kikubwa na chenye thamani kubwa ya fedha ebu tujiulize madawa haya yapoooo? Au ndiyo yameisha nufaisha maisha ya polisi.madawa ya kulevya yaliyokamatwa heroin cocaine cannibas bangi825.7 1007.4 1000 9857.541800 893.58 33507.04 31000 1374.34 31000 1595.74 42000 850 50000 11951.8 175000 286 1365.91 8000 3000 1140 12000 804.7 3185.38 81000 1277.1 1530 1245.96 716.5 13781.78 1112 981.12 1112 2013 5000 1073.82 97000 1509.35 830.19 563.25 3882.92 1980.11 391.51 1793 9838.1 994.97 3379.54 1037.9 3249.82 797.56 3932.44 4000 1173 379,428.35 246,849.14 34,507.04 9,857.54 jumla