TheForgotten Genious
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 2,087
- 3,156
- Thread starter
- #41
Utakufa utaniacha hapa,nikisema R.I.P uttoh2002,wewe chukua taarifa masuala ya mikakati haya ni yakwangu mimi,Sasa ukifa leo' sisi wana jamii forum uliotukaripia na Capital letters ndo tutahakikisha haya au uandae mazingira ya kisheria kujiandaa na hayo?
Kelele na justifications zako hazibadili chochote, ila mikakati yako....