Mbona Mwajuma hapo next door is your gold the only thing is she doesn’t glitterHuyu mtoto nilikua namtaka kitambo sana tatizo ni pesa tu za kunipeleka havard..
Watu wenye hela wanafaidi sana...
Acha nitafute hela atleast watoto wangu wasipate shida kudate na wasichana wa hivyo
Yuko gerezani anitumikia Jamhuri ya Muungano.deo kisandu
MmhhMi bado sijakata tamaa kwa mdogo wake ngoja ajichanganye tuuu
Vp tena mama angu...Mmhh
Jana ulisema uko na mke wakoVp tena mama angu...
dah, sikuwa nafahamu...amekipata alichokuwa akikipigania kwa muda mrefu...Azuma itakosa promoYuko gerezani anitumikia Jamhuri ya Muungano.
Well said mkuuHuyu mtoto nilikua namtaka kitambo sana tatizo ni pesa tu za kunipeleka havard..
Watu wenye hela wanafaidi sana...
Acha nitafute hela atleast watoto wangu wasipate shida kudate na wasichana wa hivyo
Hiyo ni foolish age ataachaHako kajamaa kanaonekana kalevi sana...
Huyo Malia nae at 20 unavuta mifegi? Mtoto wa nyoka ni nyoka, unavuta bangi mbele ya watoto wako mwisho wake ndo huu!
Vzr akawasidiwa majukum na mwenzake kira siku yeye tuu atachoka mapema na mim sitak achoka mapemaJana ulisema uko na mke wako
Kuna kazi huwa sipendi kusaidiwa muulize kama angependa msaadaVzr akawasidiwa majukum na mwenzake kira siku yeye tuu atachoka mapema na mim sitak achoka mapema
@Asprin njoo huku tafadharKuna kazi huwa sipendi kusaidiwa muulize kama angependa msaada