Wakati Rais Magufuli hushangaa Majaji kuwa na fedha za kutosha kumudu kwenda likizo nje ya nchi, Waziri wake Mh.Hamis Kigwangallah ametoa ahadi ya kulipia honeymoon ya wanandoa Ali Kiba na mkewe katika mji wa maraha wa Venice Italy, kwa kipindi cha wiki 2 katika mazingira ya kitalii yoyote yale yatakayopendekezwa na wanandoa hao. Watu wana hela zao bana Rais aache wivu!
Habari zaidi soma hapa:
Minister offers to foot Alikiba's honeymoon in Venice - PHOTOS - Nairobi News
Kwa mantiki hii basi nafunga domoKama sikosei king kiba ni balozi wa utalii hapa tz na basis kama ni hivyo anastahili.
Muulize jiweKwanini isiwe Ruaha ama kalambo falls??