tatizo hawa wanachojua ni kugeuzana na kuvua samaki basi
ndio utamadun wao mkuu ushaid upoMda mwingine jaribu kuwa na staha na wenzako una maana watu wazanzibar wote wanageuzana je ukiambiwa utoe ushahidi kwa hilo utatoa??
Malinzi baada ya kuchaguliwa siku hizi haji tena hukuNadhani Malinzi yupo humu ataupata huu ushauri
Kama atakuwa mtu wa kupokea ushauri na kuufanyia kazi lakin
Na ule uzi wake wa kuomba ushauri namna ya kuiendesha TFF alishautelekeza...!!!Malinzi baada ya kuchaguliwa siku hizi haji tena huku
Hakuna kipya alicholeta zaidi ya kuharibu yale mazuri aliyoyakuta.Dah, namkumbuka huyu bwana aliingia kwa pomps nyingi sana TFF, sina hakika kama kuna kipya kailetea TFF