Malinzi achana kabisa na ZFA...hutawaweza..

Malinzi achana kabisa na ZFA...hutawaweza..

tatizo hawa wanachojua ni kugeuzana na kuvua samaki basi

Mda mwingine jaribu kuwa na staha na wenzako una maana watu wazanzibar wote wanageuzana je ukiambiwa utoe ushahidi kwa hilo utatoa??
 
Kama atakuwa mtu wa kupokea ushauri na kuufanyia kazi lakin

Malinzi ana tatizo la 'OVERRATING HIMSELF" and hence he wants to punch above his weight!! Akifanya mchezo WAZENJ watamsomesha namba!!
 
Dah, namkumbuka huyu bwana aliingia kwa pomps nyingi sana TFF, sina hakika kama kuna kipya kailetea TFF
 
Back
Top Bottom