Malinzi atupwa nje uchaguzi mkuu TFF!

Mkuu kwann wampenda kuchokonoa watu lkn, usione u huru kiasi hicho,
This is bull shit man! Kama ana makosa no one denies makosa yake! But let the game flow! Agombee ashindwe! Or what is wrong kumshtaki akiwa ameshinda uchaguzi! Hizi personal issues katika mambo serious, are among other factors kwamba hili bara ni la giza! Sijawahi kumsurppot Malinzi katika uongozi wake especially issues za watu wa kabila lake pale TFF ila kwa hili nauona mkono wa mtu nyuma yake .[emoji53][emoji53][emoji53]
 
Kutakatisha fedha kuna dhamana? muulize pedeshee ndama mutoto ya ng'ombe
Hii ni vita ndugu ,Lazima utafutiwe timing ili ukipewa ya mbavu usiinuke.Wao walikuwa wanajidai na FIFA haitaki kuingiliwa na serikali
 
Mleta mada, nani katakatisha fedha? Malinzi na Mwesigwa au Kaburu na Aveva?
Hatuelewi aise...
Ila Malinzi na wenzake kwa hili ya kumsahau kabisa huyu nahodha lazima pia washtakiwe kabisa..
 
Mkuu sina LA kuongeza hapo, usiache kuombea tz na watu wake
 
Jamal Malinzi napishana nae hapa maeneo ya Keko Veta yupo kwenye gari ya binafsi ila wamejaa Askari wa kutosha naona safari ya Keko Gerezani daaaah uhu utawala jamani sio wa mchezo mchezo
Hapana mkuu siye,wao wamepelekwa Segerea!!
 
Inawezekana mazingira ya kuutengeneza ushahidi yalikuwa muafaka wakati wa mchakato wa uchaguzi hivyo muda wote walikuwa wanaandaliwa trap, anyway kwamba wamekamatwa ktk wakati gani sio Issue in question kama makosa yapo.
 
Kama kuna mkono wa mtu mwenye haki kumzuia mtu muovu hakuna tatizo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…