SONGOKA
JF-Expert Member
- Mar 8, 2012
- 1,841
- 1,843
- Thread starter
- #21
duh mkuu una hasira nae sana, ni mpila tuu au kuna issue zaidiMkuu mbona inaonekana ulikuwapo kwenye huo mkutano! Na kama ulikuwapo na ukashindwa kumtia vibao nitakulaumu sana. Watu kama hao ukichapa makofi umati wa watanzania watakupongeza sana