Malinzi jitumbue mwenyewe kwenye hili

Mkuu mbona inaonekana ulikuwapo kwenye huo mkutano! Na kama ulikuwapo na ukashindwa kumtia vibao nitakulaumu sana. Watu kama hao ukichapa makofi umati wa watanzania watakupongeza sana
duh mkuu una hasira nae sana, ni mpila tuu au kuna issue zaidi
 
Jamal Malinzi nakuomba ukuje hapa utujibu kwa ufasaha.
kumbuka tuliokupigia debe ni sisi sisi wana jf adi ukapata huo ushindi, tulikesha water front tukisubiriamatokeo yako na ukaja apa kutushukuru na kutuomba tukusaidie ili uweze kuongoza tff leo hii inakuwaje unafanya haya?
hebu njoo japo ukanushe basi hizi tuhuma hapa
 
..hahahahaha..akija niambie,maana na wewe ulimpigia sana debe@Bishanga
 
Jamali Malinzi aje humu siku hizi!!!! Thubutu!!!!!! aaa
 
Maskini MALINZI angeniskia wakati ule namwambia haya yasingemkuta haya YANAYOMKUTA NOW. kiburi si maungwana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…