Yethero Mgale
JF-Expert Member
- Apr 19, 2012
- 525
- 228
Nimenunua "champaigne" kwa ajili ya kusherekea hilo. Michael Wambura na Amos Makalla watetezi wake wameingia mitini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hakuna lolote mifano iko mingi angalia sehemu zote zinazoongozwa na hawa majamaa huwa na ukabila na kuwekana kwa kijinga jinga tu na kipuuzi puuzi tu...ukinipa sababu kwanini alimtimua Kim na kumleta huyu babu labda nitakuelewa ila kinyume na hapo Wahaya ni Wapuuzi tu
Ubaguzi wa kikabila mkuu bado upo sana. Ukitaka kuujua nenda kagombee udiwani au Ubunge katika majimbo ya uchaguzi Vijijini ambayo wakazi wake siyo wa kabila lako uone kama utashinda uchaguzi!
hakuna lolote mifano iko mingi angalia sehemu zote zinazoongozwa na hawa majamaa huwa na ukabila na kuwekana kwa kijinga jinga tu na kipuuzi puuzi tu...ukinipa sababu kwanini alimtimua Kim na kumleta huyu babu labda nitakuelewa ila kinyume na hapo Wahaya ni Wapuuzi tu
Kama historia ni somo ulilofaulu shuleni naomba ujibu maswali haya
1. Muhidin Ndolanga aliiongoza FAT kwenye 90s , je, ni muhaya?
2.Rage ( Aden ) alikuwa katibu FAT wakati huo , je, ni muhaya?
3.Boniface Wambura alishawahi kuwa katibu pia je; ni muhaya?
Kuna mafanikio yoyote ya maana ktk soka la Tz walilotuletea?
4.Waliomchagua Jamali Malinzi ni wahaya?
Naomba kushauri tuwe tunajadili hoja na sio makabila ya watu.Hapa duniani kila kabila ni bora. Udhaifu ni hulka ya kila binadamu kama unabisha niletee mtu wa kabila lako asiye na udhaifu halafu nitakutangaza kuwa role model wangu.
Hebu angalia haya matokeo mengine, tunajifunza nini!? Watanzania kuna haja ya kukaa na ktafakari badala la kulaumu kana kwamba kuna kitu ambacho tunaweza kujivunia kuwa tumekifanya vizuri! Tatakari zaidi kwenye hizo red.TFF-Tanzania Fitna Federation Aondoke tuu,Asipo ondoka tunamuondoa. Maana hatuna namna tena.
Hebu angalia haya matokeo mengine, tunajifunza nini!? Watanzania kuna haja ya kukaa na ktafakari badala la kulaumu kana kwamba kuna kitu ambacho tunaweza kujivunia kuwa tumekifanya vizuri! Tatakari zaidi kwenye hizo red.
Chan 2016 - RESULTS:
Ethiopia 2 - 0 Kenya
Lesotho 0 - 0 Botswana
Swaziland 2 - 2 Angola
Tanzania 0 - 3 Uganda
Namibia 2 - 1 Zambia
South Africa 3 - 0 Mauritius
Zimbabwe 2 - 0 Comoros
Senegal 3 - 1 Gambia
Guinea Bissau 1 - 1 Mali
Djibouti 1 - 1 Burundi
Mauritania 2 - 1 Sierra Leone
Mozambique 5 - 1 Seychelles
Sawa nshomile MULOKOZI akimtetea nshomile MALINZI
Wale wale wapuuuzzz