Kafka Bruno
JF-Expert Member
- Aug 21, 2016
- 301
- 328
Mkuu hivi hujaliona jukwaa la siasa? hili ni la michezo ukitaka siasa nenda jukwaa husika hatujadili maswala ya vyama hapaPolisi wapo chini ya mfumo upi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hivi hujaliona jukwaa la siasa? hili ni la michezo ukitaka siasa nenda jukwaa husika hatujadili maswala ya vyama hapaPolisi wapo chini ya mfumo upi?
Na aliyekudanganya kuwa Polisi ndio wanapeleleza hii kesi ya Malinzi ni nani? kabla ya kuchangia pumba zako humu uwe unafanya utafiti kwanzaPolisi wapo chini ya mfumo upi?
Subiri upate kwanza akili wewe boyaNa aliyekudanganya kuwa Polisi ndio wanapeleleza hii kesi ya Malinzi ni nani? kabla ya kuchangia pumba zako humu uwe unafanya utafiti kwanza
Sent using Jamii Forums mobile app
Hujalazimishwa kuchangia, fungua la kwako.Mkuu hivi hujaliona jukwaa la siasa? hili ni la michezo ukitaka siasa nenda jukwaa husika hatujadili maswala ya vyama hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sikiliza dada,hili ni jukwaa la michezo ila dada wewe usiejitambua unaleta mambo yako ya siasa hapa....Ndo Maana mkuu Genta huwa anawapaga za mbavu na matusi yaliyotukuka mubashara kabisaHujalazimishwa kuchangia, fungua la kwako.
Wewe ni mwehu kweli, mwambie aje.Sikiliza dada,hili ni jukwaa la michezo ila dada wewe usiejitambua unaleta mambo yako ya siasa hapa....Ndo Maana mkuu Genta huwa anawapaga za mbavu na matusi yaliyotukuka mubashara kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Subiri ameshakuona anakuja[emoji2] [emoji2] [emoji2] @ GentamycineWewe ni mwehu kweli, mwambie aje.
OkSubiri ameshakuona anakuja[emoji2] [emoji2] [emoji2] @ Gentamycine
Sent using Jamii Forums mobile app
Hajakosea..alikua anatekeleza sera.katumia tu kifupi..chukua chako mapema.Hapa CCM imeingiaje tena Mkuu? Kwani alipokuwa ' akiiba ' alikuwa akila na Watu wa CCM? Hivi kweli Mtu aliye ' makini ' kabisa anaweza kulihusisha hili suala la ' Upuuzi ' wa Malinzi na CCM?
Na aliyekudanganya kuwa Polisi ndio wanapeleleza hii kesi ya Malinzi ni nani? kabla ya kuchangia pumba zako humu uwe unafanya utafiti kwanza
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanapeleleza TAKUKURU na sio POLISI hao mawakili kazi Yao sio kupelelezaKUmbe wanapeleleza kina nani? ? Au mawakili wa serikali? Mmmh
Wanapeleleza TAKUKURU na sio POLISI hao mawakili kazi Yao sio kupeleleza
Sent using Jamii Forums mobile app
Ww ndo haujui na Kitu kma haujui usiogope kuuliza....DCI anapeleleza kesi zote za jinai na hizo za rushwa zinapelelezwa na TAKUKURUSio kweli,,,kazi ya kupeleleza nnavyojua ipo chini ya DCI,
Muda mchache uliopita Viongozi wa TFF Rais Jamal Emil Malinzi na Katibu Mkuu wake Celestine Mwesigwa wamerudishwa tena Segerea hadi tarehe 31 mwezi huu ambapo Kesi yao itatajwa tena baada ya upande wa Washtaki kukataa ombi la Mawakili wa hawa Viongozi.
Nawasilisha.
Safi ni hatua muhimu kuelekea kujenga na kuimarisha misingi ya usimamiz mzuri wa Mali za Tff na utendaji kazi , hii itatoa somo kwa viongoz wengine juu ya umuhimu wa kuepuka ufisadi kwa sababu vyombo vyetu vya ulinzi hawatakaa kimya .
Acha sheria ifuate mkondo wake
Wanayo.HIVI MARAISI WA TFF HAWANA KINGA?
Post sent using JamiiForums mobile app