bukoba boy
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 5,370
- 3,962
Mbona Evra alitapika mechi na spurs? Na bado akacheza
Hii ni dharau kubwa saana kwa WATANZANIA, hivi Yanga wachezaji wake wanatoka wapi????? Kuna umuhimu kama kweli wachezaji wetu wamemsikia, basi WASUSIE kuchezea TIMU YA TAIFA, mpaka huyu mpuuzi ameng'oka. Wandishi, hawa vijana wanahitaji msaada, huwezi kutumia lugha yua namna hii
Hii ni dharau kubwa saana kwa WATANZANIA, hivi Yanga wachezaji wake wanatoka wapi????? Kuna umuhimu kama kweli wachezaji wetu wamemsikia, basi WASUSIE kuchezea TIMU YA TAIFA, mpaka huyu mpuuzi ameng'oka. Wandishi, hawa vijana wanahitaji msaada, huwezi kutumia lugha yua namna hii
For the sake of argument, naomba aje mtu abishe kuwa hakuyatamka hayo maneno!:doh: Ajipangage basi jamani kabla ya kwenda kuongea na vyombo vya habari!Jukumu la kutafuta wachezaji wa stars ni la nani? sio TFF?
Tanzania nzima hao ndio watu wanaoweza kucheza mpira peke yao? Ni jukumu la nani kutengeneza timu nzuri ya taifa
Huyu malinzi ni mpuuzi...yeye ndiye tatizo
Narudisha kumbukumbu wakuu. Hivi si ndio sisi tulikuwa tunalalamika alipokatwa jina na uongozi wa Tenga? mbona watanzania tunakuwa wepesi kusahau? Ni kipi kilichotupelekea kumpigia debe kiasi hicho, au tulikuwa na mihemko kama huu wa watia nia! Binafsi natia mashaka sana tunapokuwa vinyonga lazima ifike muda tutambue tunapompigia debe mtu tujue ana kipi cha maana, mfano huyu Malinzi hakuwa na lolote la maana zaidi ya promo tu redioni.