bukoba boy
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 5,370
- 3,962
Rais wa TFF Jamal Malinzi amesema kua tatizo la soka la Tanzania sio makocha wala nini bali ni wachezaji wenyewe hawafundishiki.Akikazia point hiyo aliwauliza waandishi wa habari kua kuna anaejua kwamba kuna wachezaji wa stars walitapika wakati wanampana na Egypt??
Anasema kua kama wachezaji wanapewa kambi nzuri,wanasafiri vizuri,wanakataa hotel za five star sasa wanashindwa kutoa matokeo mazuri kwa nini??
Source: Star TV Habari.
Anasema kua kama wachezaji wanapewa kambi nzuri,wanasafiri vizuri,wanakataa hotel za five star sasa wanashindwa kutoa matokeo mazuri kwa nini??
Source: Star TV Habari.